Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

🚨🚨‼️IMPORTANT UPDATE‼️ A credible source has informed me that the Govt is setting up a fake medical report in Dodoma aa they seek to involve John Heche in an incident that he was not involved. Sigrada - a leader within Chama cha Demokrasia na Maendeleo had an altercation with...

49,370 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Saint 🧚's profile picture
Saint 🧚1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz

WE News English's profile picture
WE News English1 year ago

Enforced Disappearances is a Global Issue: 1st World Congress on Enforced Disappearances held in Geneva ▶️ Watch Now: WE News English Program: Perspectives 🗣️Host: Syed Muhammad Ali 🎙️Guests: Jan Achakzai, Former Minister of Information, Balochistan & Altaf Hussain Wani, Chairman, Kashmir Institute of International Relations @Jan_Achakzai @sultan1913 @SyedAli78304182 #EnforcedDisappearances | #HumanRights | #MissingPersons | #Kashmir | #UnitedNations

Vladimir Gadaffi's profile picture
Vladimir Gadaffi1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Hata yeye mwenyewe huko alipo anajuta kuingia kwenye hiyo Tasnia maana kuigiza mgonjwa then media zinakuja kukuhoja all the time una-act ili Uwaumize wasio na hatia ni hatari sana na siku zote mungu hamfichi mnafiki soon atajisahau Odini wamkute anacheza Amapiano🤣

Ayie Tag's profile picture
Ayie Tag1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Mzee Kibao walimuua walifanya uchunguzi. Mgombea wa CDM Manyoni alipigwa Risasi 4 mbele ya mke wake walifanya uchunguzi mkewe amepewa hata100 na CCM.Sigrada apigane nje halafu akamatwe Heche ambaye hakuwepo huko nje. Naona wanataka kuwashamoto mapema. Watz Hatutakubali uonevu huu

Adam sunghi's profile picture
Adam sunghi1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Ametoka kwenye gari anatembea kamera imesogea anaugulia ilaaaah 🤣😇

Maria Sarungi Tsehai's profile picture
Maria Sarungi Tsehai1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Sanaa imemshinda Sigrada 😃

carlos pills's profile picture
carlos pills1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Shida imeanzia makala mzee wa Ebola alipochukua usukani

Maria Sarungi Tsehai's profile picture
Maria Sarungi Tsehai1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Makala ni worse mwenezi CCM kuwahi kupata! 🚮

qerangu sulle jr's profile picture
qerangu sulle jr1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz Hivi ni wp mmeona mtu ambaye damu imeviria kwenye ubongo akaweza hata kuongea au kutembea kwa kushikiliwa kwa kawaida ubongo ukitikisika kdg tu au kuingia hata chembe ya kitu chchte au damu totally huyo hawezi jua chchte wa yaani ICU ma wote ss huyo wao anatembea anaongea kweli ?

Maria Sarungi Tsehai's profile picture
Maria Sarungi Tsehai1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz We waache watoe hiyo report fake

qerangu sulle jr's profile picture
qerangu sulle jr1 year ago

@HecheJohn @ChademaTz CCM acheni drama za kitoto tuambieni hizo trilion 97.35 zimefanya nini wakati mkisema kila siku miradi yote ni kwa hela ndani yaani kodi zetu mmeuza kila kitu tumebaki wananchi tu kuuzwa

Related Videos

VIDEO: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Chadema Tanzania kinaelezwa kuwa kwenye kiza cha mtafaruku baina ya viongozi wakuu, chanzo kikidaiwa kuwa ni fedha ambazo zimeanza kupenyezwa ndani ya chama hicho ili kuuvuruga na ikiwezekana kuuondoa uongozi wa juu uliopo (Mwenyekiti Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti Bara John Heche). Kwa muda wa wiki moja tangu vikao vya kamati kuu ya chama hicho vikaliwe Kigoma Juni 30, 2026 zimeenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii juu ya tuhuma dhidi ya Heche kudaiwa kupewa mamilioni ya fedha ambazo ni michango ya wadau kusaidia shughuli za chama hicho lakini kiongozi huyo hakuzikabidhi kwenye chama bali alibaki nazo. Katika madai hayo yaliendelea kueleza kuwa kiongozi huyo alikiri kufanya hivyo na Kamati Kuu iliazimia kutolitoa jambo hilo nje badala yake waridhiane ndani kwa ndani na kujiponya. Hata hivyo siku za karibuni zimeibuka tuhuma mpya dhidi ya Heche kuwa anashirikiana na wafanyabiashara kwa lengo la kuvuruga biashara ya mafuta nchini. Tuhuma hizi zimetolewa na kada wa chama hicho Lembrus Mchome na watu wengine. Upepo umebadilika siku nne zilizopita ambapo inadaiwa kuwa tuhuma hizi ni za kumchafua Heche na zinaendeshwa na makada wa chama hicho wakishirikiana na watu wengine ikidaiwa kuwa wanaoendesha propaganda hizi walilipwa fedha kwa lengo la kwenda kushawishi kwenye kamati kuu ili Heche akubali kuingia kwenye maridhiano na serikali na Tundu Lissu aachiwe jambo ambalo inadaiwa Heche alikataa.

Jambo TV

27,346 views • 1 month ago