Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

🚨🚨‼️IMPORTANT UPDATE‼️ A credible source has informed me that the Govt is setting up a fake medical report in Dodoma aa they seek to involve John Heche in an incident that he was not involved. Sigrada - a leader within Chama cha Demokrasia na Maendeleo had an altercation with...

49,370 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Saint 🧚
Saint 🧚1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz

Фото профиля WE News English
WE News English1 год назад

Enforced Disappearances is a Global Issue: 1st World Congress on Enforced Disappearances held in Geneva ▶️ Watch Now: WE News English Program: Perspectives 🗣️Host: Syed Muhammad Ali 🎙️Guests: Jan Achakzai, Former Minister of Information, Balochistan & Altaf Hussain Wani, Chairman, Kashmir Institute of International Relations @Jan_Achakzai @sultan1913 @SyedAli78304182 #EnforcedDisappearances | #HumanRights | #MissingPersons | #Kashmir | #UnitedNations

Фото профиля Vladimir Gadaffi
Vladimir Gadaffi1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Hata yeye mwenyewe huko alipo anajuta kuingia kwenye hiyo Tasnia maana kuigiza mgonjwa then media zinakuja kukuhoja all the time una-act ili Uwaumize wasio na hatia ni hatari sana na siku zote mungu hamfichi mnafiki soon atajisahau Odini wamkute anacheza Amapiano🤣

Фото профиля Ayie Tag
Ayie Tag1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Mzee Kibao walimuua walifanya uchunguzi. Mgombea wa CDM Manyoni alipigwa Risasi 4 mbele ya mke wake walifanya uchunguzi mkewe amepewa hata100 na CCM.Sigrada apigane nje halafu akamatwe Heche ambaye hakuwepo huko nje. Naona wanataka kuwashamoto mapema. Watz Hatutakubali uonevu huu

Фото профиля Adam sunghi
Adam sunghi1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Ametoka kwenye gari anatembea kamera imesogea anaugulia ilaaaah 🤣😇

Фото профиля Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Sanaa imemshinda Sigrada 😃

Фото профиля carlos pills
carlos pills1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Shida imeanzia makala mzee wa Ebola alipochukua usukani

Фото профиля Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Makala ni worse mwenezi CCM kuwahi kupata! 🚮

Фото профиля qerangu sulle jr
qerangu sulle jr1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz Hivi ni wp mmeona mtu ambaye damu imeviria kwenye ubongo akaweza hata kuongea au kutembea kwa kushikiliwa kwa kawaida ubongo ukitikisika kdg tu au kuingia hata chembe ya kitu chchte au damu totally huyo hawezi jua chchte wa yaani ICU ma wote ss huyo wao anatembea anaongea kweli ?

Фото профиля Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz We waache watoe hiyo report fake

Фото профиля qerangu sulle jr
qerangu sulle jr1 год назад

@HecheJohn @ChademaTz CCM acheni drama za kitoto tuambieni hizo trilion 97.35 zimefanya nini wakati mkisema kila siku miradi yote ni kwa hela ndani yaani kodi zetu mmeuza kila kitu tumebaki wananchi tu kuuzwa

Похожие видео

VIDEO: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Chadema Tanzania kinaelezwa kuwa kwenye kiza cha mtafaruku baina ya viongozi wakuu, chanzo kikidaiwa kuwa ni fedha ambazo zimeanza kupenyezwa ndani ya chama hicho ili kuuvuruga na ikiwezekana kuuondoa uongozi wa juu uliopo (Mwenyekiti Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti Bara John Heche). Kwa muda wa wiki moja tangu vikao vya kamati kuu ya chama hicho vikaliwe Kigoma Juni 30, 2026 zimeenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii juu ya tuhuma dhidi ya Heche kudaiwa kupewa mamilioni ya fedha ambazo ni michango ya wadau kusaidia shughuli za chama hicho lakini kiongozi huyo hakuzikabidhi kwenye chama bali alibaki nazo. Katika madai hayo yaliendelea kueleza kuwa kiongozi huyo alikiri kufanya hivyo na Kamati Kuu iliazimia kutolitoa jambo hilo nje badala yake waridhiane ndani kwa ndani na kujiponya. Hata hivyo siku za karibuni zimeibuka tuhuma mpya dhidi ya Heche kuwa anashirikiana na wafanyabiashara kwa lengo la kuvuruga biashara ya mafuta nchini. Tuhuma hizi zimetolewa na kada wa chama hicho Lembrus Mchome na watu wengine. Upepo umebadilika siku nne zilizopita ambapo inadaiwa kuwa tuhuma hizi ni za kumchafua Heche na zinaendeshwa na makada wa chama hicho wakishirikiana na watu wengine ikidaiwa kuwa wanaoendesha propaganda hizi walilipwa fedha kwa lengo la kwenda kushawishi kwenye kamati kuu ili Heche akubali kuingia kwenye maridhiano na serikali na Tundu Lissu aachiwe jambo ambalo inadaiwa Heche alikataa.

Jambo TV

27,346 просмотров • 1 месяц назад