Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

In simple terms!

63,496 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля SPOTTED HYENAS🦊
SPOTTED HYENAS🦊1 год назад

Nikichokua nasema ni hivi kama vipi huyu Mbowe si na waty wake si waondoke kwa pamoja chama iitishe mkutano mkuu na kufanyike uchaguzi wa haraka ili kuziba nafasi za hawa washenzi wanaoondoka, hii dizaini ya kuondoka kimafungu kmmke inakata stim sana, vinyongo kama wanawake shenz

Фото профиля Denice Tumaini (LA)
Denice Tumaini (LA)1 год назад

Hivi Kilatu ndio alikuwa Lawyer wa COVID19 eeh?

Фото профиля M A G I R I
M A G I R I1 год назад

Sio alikuwa, ni wakili wao hadi sasa.

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

- The Kingdom

Фото профиля Ng'engeri
Ng'engeri1 год назад

Ni kweli inashangaza kuwa loyalities wa Mbowe wanaondoka huku amekaa kimya, kama viongozi wapya akina Lissu na Heche wanakosea awe wa kwanza kuwakosoa na kuwashauri. Nitasikitika Mbowe akiondoka Chadema, chama ambacho amekijenga kwa zaidi ya miaka 30.

Фото профиля Bwoma Jr
Bwoma Jr1 год назад

Jamaa kaongea vizuri sana

Фото профиля Sir chandafa
Sir chandafa1 год назад

Kama ni hivo basi mbowe ni mtu mbaya Sana, yule baba, is a silent killer mungu tu amuendelee kumtunza but what is going on in chadema now is not a good thing

Фото профиля ASSEY.
ASSEY.1 год назад

Ameeleweka vizuri sana.

Фото профиля Pop
Pop1 год назад

Uchaguzi uliisha, kinachopingwa ni mechanisms za NRNE... Usiamini watu wenye vipara masta

Фото профиля Gemini♊️♊️
Gemini♊️♊️1 год назад

Stupid mindset argument, akiongea watakuja na arguments kuwa anamwingilia TAL ambaye ni mrithi wake, kukaa kwake kimya is the best weaponry instruments against those stupid stories like this 💯💯

Фото профиля robiramo
robiramo1 год назад

Watu ni wafuasi wa watu na sio wafuasi wa itikadi nimeibeba hiyo

Похожие видео