Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Interview za Walimu |
10,795 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Usizunguke san wachane kuw wamepuyanga zaid

Watch THE INTERVIEW

Mdogo wangu umesema Jambo ambalo media kibao Kama hazilioni. Hongera Sana mwalimu mwenzangu

Kaka, hii mifumo imewekwa ili kupunguza ukizingatia kuwa waombaji wa ajira ni wengi sana. Naamini wangeweza kufanya hicho ulichopendekeza ila ttzo ni rasilimali mda. Hata hivyo interview ziko mbili ambapo unaanza na hii written then uki-pass unaenda oral ambayo itahusisha class

Hakuna cha miaka 6 sijui mitano nyuma bro. Hizi interview zinafanyika kwa kada zote hazijaanzia tu kwa Walimu. Mtu wa Mass Com kamaliza 2010 Leo anakutana na Adobe premiere 2025 Mbona halalamiki?? Engineer wanafanya interview pia, kwa mfumo huo huo Mbona walimu vilio vingi?

😹😹

Don’t round the bush .. say it straight on their face Wanafanya Mambo ya kishamba .

mkulima hapa umechambua sana ,km ni madini basi ni kama tupo GOMA BANYAMULENGE,wakongoman na mamluki wa ulaya wote wanayagombania

Umeongea jambo la maana sana, ndio mnatakiwa muwe hivi siku zote, ili kujenga misingi mizuri ya baadae. Chengine mitaala kilakukicha inabadilishwa

Bro we kuweza😂

Umesema vizuri lakini changamoto ni zilezile 👇🏾 Shortage of resources Lack of skilled personnel Poor transport and communication Low level of science and technology Incapacity of the population handles Poor management and preparation Mwingine ajazilize hapo 👆🏾

