Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Interview za Walimu |

10,795 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

TUNGU Jr. profil fotoğrafı
TUNGU Jr.1 yıl önce

Usizunguke san wachane kuw wamepuyanga zaid

World Transformation Movement profil fotoğrafı
World Transformation Movement3 yıl önce

Watch THE INTERVIEW

Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu profil fotoğrafı
Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu1 yıl önce

Mdogo wangu umesema Jambo ambalo media kibao Kama hazilioni. Hongera Sana mwalimu mwenzangu

Teacher Waidhu🇹🇿 profil fotoğrafı
Teacher Waidhu🇹🇿1 yıl önce

Kaka, hii mifumo imewekwa ili kupunguza ukizingatia kuwa waombaji wa ajira ni wengi sana. Naamini wangeweza kufanya hicho ulichopendekeza ila ttzo ni rasilimali mda. Hata hivyo interview ziko mbili ambapo unaanza na hii written then uki-pass unaenda oral ambayo itahusisha class

Misango Jr profil fotoğrafı
Misango Jr1 yıl önce

Hakuna cha miaka 6 sijui mitano nyuma bro. Hizi interview zinafanyika kwa kada zote hazijaanzia tu kwa Walimu. Mtu wa Mass Com kamaliza 2010 Leo anakutana na Adobe premiere 2025 Mbona halalamiki?? Engineer wanafanya interview pia, kwa mfumo huo huo Mbona walimu vilio vingi?

MTAFUTAJI!🎬👊 profil fotoğrafı
MTAFUTAJI!🎬👊1 yıl önce

😹😹

Lida profil fotoğrafı
Lida1 yıl önce

Don’t round the bush .. say it straight on their face Wanafanya Mambo ya kishamba .

Msemaji wa umma profil fotoğrafı
Msemaji wa umma1 yıl önce

mkulima hapa umechambua sana ,km ni madini basi ni kama tupo GOMA BANYAMULENGE,wakongoman na mamluki wa ulaya wote wanayagombania

Allination profil fotoğrafı
Allination1 yıl önce

Umeongea jambo la maana sana, ndio mnatakiwa muwe hivi siku zote, ili kujenga misingi mizuri ya baadae. Chengine mitaala kilakukicha inabadilishwa

Njiku Jr🌻🇹🇿! profil fotoğrafı
Njiku Jr🌻🇹🇿!1 yıl önce

Bro we kuweza😂

Abduli Kaifa profil fotoğrafı
Abduli Kaifa1 yıl önce

Umesema vizuri lakini changamoto ni zilezile 👇🏾 Shortage of resources Lack of skilled personnel Poor transport and communication Low level of science and technology Incapacity of the population handles Poor management and preparation Mwingine ajazilize hapo 👆🏾

Benzer Videolar

VIDEO: Katika hali ya kushangaza, walimu wa Shule ya Msingi Nkweshoo iliyopo Kijiji cha Mkuu Ndoo, Kata ya Machame Mashariki, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, wanadaiwa kuomba uhamisho kwa madai ya ubaguzi kutoka kwa baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo. Shule hiyo yenye walimu saba inadaiwa kuwa na mgogoro kati ya baadhi ya wazazi na walimu, ambapo inasemekana wazazi wanataka shule hiyo ifundishwe na walimu wazawa, hali iliyowafanya walimu wote kuomba uhamisho. Hata hivyo, Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Method Haule, amekanusha madai hayo akisema kuwa taarifa hizo si za kweli na zimeleta taharuki isiyo na msingi. Ameeleza kuwa hajawahi kutoa takwimu wala taarifa zozote zinazoashiria hali hiyo shuleni kwake. Kwa mujibu wa taarifa, hali hiyo ilifikia hatua ya kujadiliwa katika kikao cha Halmashauri ya Kijiji kilichofanyika Ijumaa iliyopita, ambapo wazazi na viongozi wa kijiji walikutana kutafuta ufumbuzi wa madai kwamba mmoja wa walimu alifanyiwa vitendo vya kishirikina kwa kurushiwa mawe kwenye paa la nyumba yake. Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu ya kijiji hicho, Elimwaria Mbora, amenukuliwa akisema kuwa ni kweli baadhi ya walimu waliomba uhamisho kutokana na changamoto zilizojitokeza, ingawa hakufafanua zaidi kuhusu hali hiyo. Diwani wa Kata ya Machame Mashariki, James Mushi, pamoja na madiwani wa viti maalum wa eneo hilo, wameelezea kusikitishwa na taarifa hizo, wakisisitiza kuwa wakazi wa eneo hilo wanaishi kwa amani na walimu wa shule hiyo, na hakuna mgogoro wowote wa wazi baina yao. Shule hiyo yenye jumla ya wanafunzi 168 ina walimu saba, ambapo watano ni wa ajira rasmi huku wawili wakiwa ni wa mafunzo kwa vitendo. Mpaka sasa, mamlaka husika bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu suala hilo, lakini inatarajiwa kuwa litapatiwa ufumbuzi wa haraka ili kuepusha athari kwa maendeleo ya elimu katika eneo hilo.

Jambo TV

27,110 görüntüleme • 1 yıl önce