Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

10,795 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

TUNGU Jr.'s profile picture
TUNGU Jr.1 year ago

Usizunguke san wachane kuw wamepuyanga zaid

World Transformation Movement's profile picture
World Transformation Movement3 years ago

Watch THE INTERVIEW

Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu's profile picture
Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu1 year ago

Mdogo wangu umesema Jambo ambalo media kibao Kama hazilioni. Hongera Sana mwalimu mwenzangu

Teacher Waidhu🇹🇿's profile picture
Teacher Waidhu🇹🇿1 year ago

Kaka, hii mifumo imewekwa ili kupunguza ukizingatia kuwa waombaji wa ajira ni wengi sana. Naamini wangeweza kufanya hicho ulichopendekeza ila ttzo ni rasilimali mda. Hata hivyo interview ziko mbili ambapo unaanza na hii written then uki-pass unaenda oral ambayo itahusisha class

Misango Jr's profile picture
Misango Jr1 year ago

Hakuna cha miaka 6 sijui mitano nyuma bro. Hizi interview zinafanyika kwa kada zote hazijaanzia tu kwa Walimu. Mtu wa Mass Com kamaliza 2010 Leo anakutana na Adobe premiere 2025 Mbona halalamiki?? Engineer wanafanya interview pia, kwa mfumo huo huo Mbona walimu vilio vingi?

MTAFUTAJI!🎬👊's profile picture
MTAFUTAJI!🎬👊1 year ago

😹😹

Lida's profile picture
Lida1 year ago

Don’t round the bush .. say it straight on their face Wanafanya Mambo ya kishamba .

Msemaji wa umma's profile picture
Msemaji wa umma1 year ago

mkulima hapa umechambua sana ,km ni madini basi ni kama tupo GOMA BANYAMULENGE,wakongoman na mamluki wa ulaya wote wanayagombania

Allination's profile picture
Allination1 year ago

Umeongea jambo la maana sana, ndio mnatakiwa muwe hivi siku zote, ili kujenga misingi mizuri ya baadae. Chengine mitaala kilakukicha inabadilishwa

Njiku Jr🌻🇹🇿!'s profile picture
Njiku Jr🌻🇹🇿!1 year ago

Bro we kuweza😂

Abduli Kaifa's profile picture
Abduli Kaifa1 year ago

Umesema vizuri lakini changamoto ni zilezile 👇🏾 Shortage of resources Lack of skilled personnel Poor transport and communication Low level of science and technology Incapacity of the population handles Poor management and preparation Mwingine ajazilize hapo 👆🏾

Related Videos

VIDEO: Katika hali ya kushangaza, walimu wa Shule ya Msingi Nkweshoo iliyopo Kijiji cha Mkuu Ndoo, Kata ya Machame Mashariki, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, wanadaiwa kuomba uhamisho kwa madai ya ubaguzi kutoka kwa baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo. Shule hiyo yenye walimu saba inadaiwa kuwa na mgogoro kati ya baadhi ya wazazi na walimu, ambapo inasemekana wazazi wanataka shule hiyo ifundishwe na walimu wazawa, hali iliyowafanya walimu wote kuomba uhamisho. Hata hivyo, Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Method Haule, amekanusha madai hayo akisema kuwa taarifa hizo si za kweli na zimeleta taharuki isiyo na msingi. Ameeleza kuwa hajawahi kutoa takwimu wala taarifa zozote zinazoashiria hali hiyo shuleni kwake. Kwa mujibu wa taarifa, hali hiyo ilifikia hatua ya kujadiliwa katika kikao cha Halmashauri ya Kijiji kilichofanyika Ijumaa iliyopita, ambapo wazazi na viongozi wa kijiji walikutana kutafuta ufumbuzi wa madai kwamba mmoja wa walimu alifanyiwa vitendo vya kishirikina kwa kurushiwa mawe kwenye paa la nyumba yake. Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu ya kijiji hicho, Elimwaria Mbora, amenukuliwa akisema kuwa ni kweli baadhi ya walimu waliomba uhamisho kutokana na changamoto zilizojitokeza, ingawa hakufafanua zaidi kuhusu hali hiyo. Diwani wa Kata ya Machame Mashariki, James Mushi, pamoja na madiwani wa viti maalum wa eneo hilo, wameelezea kusikitishwa na taarifa hizo, wakisisitiza kuwa wakazi wa eneo hilo wanaishi kwa amani na walimu wa shule hiyo, na hakuna mgogoro wowote wa wazi baina yao. Shule hiyo yenye jumla ya wanafunzi 168 ina walimu saba, ambapo watano ni wa ajira rasmi huku wawili wakiwa ni wa mafunzo kwa vitendo. Mpaka sasa, mamlaka husika bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu suala hilo, lakini inatarajiwa kuwa litapatiwa ufumbuzi wa haraka ili kuepusha athari kwa maendeleo ya elimu katika eneo hilo.

Jambo TV

27,110 views • 1 year ago