Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Interview za Walimu |

10,795 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля TUNGU Jr.
TUNGU Jr.1 год назад

Usizunguke san wachane kuw wamepuyanga zaid

Фото профиля World Transformation Movement
World Transformation Movement3 лет назад

Watch THE INTERVIEW

Фото профиля Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu
Ibrahim Yusuph Jason kaseke Nsungumwilu1 год назад

Mdogo wangu umesema Jambo ambalo media kibao Kama hazilioni. Hongera Sana mwalimu mwenzangu

Фото профиля Teacher Waidhu🇹🇿
Teacher Waidhu🇹🇿1 год назад

Kaka, hii mifumo imewekwa ili kupunguza ukizingatia kuwa waombaji wa ajira ni wengi sana. Naamini wangeweza kufanya hicho ulichopendekeza ila ttzo ni rasilimali mda. Hata hivyo interview ziko mbili ambapo unaanza na hii written then uki-pass unaenda oral ambayo itahusisha class

Фото профиля Misango Jr
Misango Jr1 год назад

Hakuna cha miaka 6 sijui mitano nyuma bro. Hizi interview zinafanyika kwa kada zote hazijaanzia tu kwa Walimu. Mtu wa Mass Com kamaliza 2010 Leo anakutana na Adobe premiere 2025 Mbona halalamiki?? Engineer wanafanya interview pia, kwa mfumo huo huo Mbona walimu vilio vingi?

Фото профиля MTAFUTAJI!🎬👊
MTAFUTAJI!🎬👊1 год назад

😹😹

Фото профиля Lida
Lida1 год назад

Don’t round the bush .. say it straight on their face Wanafanya Mambo ya kishamba .

Фото профиля Msemaji wa umma
Msemaji wa umma1 год назад

mkulima hapa umechambua sana ,km ni madini basi ni kama tupo GOMA BANYAMULENGE,wakongoman na mamluki wa ulaya wote wanayagombania

Фото профиля Allination
Allination1 год назад

Umeongea jambo la maana sana, ndio mnatakiwa muwe hivi siku zote, ili kujenga misingi mizuri ya baadae. Chengine mitaala kilakukicha inabadilishwa

Фото профиля Njiku Jr🌻🇹🇿!
Njiku Jr🌻🇹🇿!1 год назад

Bro we kuweza😂

Фото профиля Abduli Kaifa
Abduli Kaifa1 год назад

Umesema vizuri lakini changamoto ni zilezile 👇🏾 Shortage of resources Lack of skilled personnel Poor transport and communication Low level of science and technology Incapacity of the population handles Poor management and preparation Mwingine ajazilize hapo 👆🏾

Похожие видео

VIDEO: Katika hali ya kushangaza, walimu wa Shule ya Msingi Nkweshoo iliyopo Kijiji cha Mkuu Ndoo, Kata ya Machame Mashariki, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, wanadaiwa kuomba uhamisho kwa madai ya ubaguzi kutoka kwa baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo. Shule hiyo yenye walimu saba inadaiwa kuwa na mgogoro kati ya baadhi ya wazazi na walimu, ambapo inasemekana wazazi wanataka shule hiyo ifundishwe na walimu wazawa, hali iliyowafanya walimu wote kuomba uhamisho. Hata hivyo, Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Method Haule, amekanusha madai hayo akisema kuwa taarifa hizo si za kweli na zimeleta taharuki isiyo na msingi. Ameeleza kuwa hajawahi kutoa takwimu wala taarifa zozote zinazoashiria hali hiyo shuleni kwake. Kwa mujibu wa taarifa, hali hiyo ilifikia hatua ya kujadiliwa katika kikao cha Halmashauri ya Kijiji kilichofanyika Ijumaa iliyopita, ambapo wazazi na viongozi wa kijiji walikutana kutafuta ufumbuzi wa madai kwamba mmoja wa walimu alifanyiwa vitendo vya kishirikina kwa kurushiwa mawe kwenye paa la nyumba yake. Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu ya kijiji hicho, Elimwaria Mbora, amenukuliwa akisema kuwa ni kweli baadhi ya walimu waliomba uhamisho kutokana na changamoto zilizojitokeza, ingawa hakufafanua zaidi kuhusu hali hiyo. Diwani wa Kata ya Machame Mashariki, James Mushi, pamoja na madiwani wa viti maalum wa eneo hilo, wameelezea kusikitishwa na taarifa hizo, wakisisitiza kuwa wakazi wa eneo hilo wanaishi kwa amani na walimu wa shule hiyo, na hakuna mgogoro wowote wa wazi baina yao. Shule hiyo yenye jumla ya wanafunzi 168 ina walimu saba, ambapo watano ni wa ajira rasmi huku wawili wakiwa ni wa mafunzo kwa vitendo. Mpaka sasa, mamlaka husika bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu suala hilo, lakini inatarajiwa kuwa litapatiwa ufumbuzi wa haraka ili kuepusha athari kwa maendeleo ya elimu katika eneo hilo.

Jambo TV

27,110 просмотров • 1 год назад