正在加载视频...
视频加载失败
Iringa mjini leo
11 条评论

Move on fam… Yano toka uhame hauna agenda nyingine tofauti na kuisema CHADEMA! Mbowe ashatoka- tangazeni sera majungu haya muwaachie wanwake wa VITI MAALUM

Wee jamaa upo huku au kule? Unafanya mipango gani na CC ya CDM hapa👇? Unauza siri za chama chetu CCM nini?

Katiba ya CCM ilivunjwa kisa Royal Family ilikula pilau ya Ikulu wakasema inabid uendelee Yale maamuz sio ya Wanachama ila ni familia tu moja iliamua. Wewe unapongeza kama zuzu. CCM ni taka. Mungu huchukia Dhulma, Yeye huwatawanya wenye Kiburi na kuwaangusha wafalme vit vya enzi.

🤔

take the journey

Sura yako na maneno yako na moyo wako, havirandani pole sana, Mchungaji msigwa ungerudi tu na Ungepokelewa

Na wewe umekua chawa tena mkuu

Wenzako

This is Peter Msigwa smart enough, current enough👏

Huko ulipo siyo sahihi na unajua siyo sahihi. Aliyekutendea ubaya unajua tayari Wananchi wameisha muadhibu. Tafadhari Mheshimiwa Rudi Nyumbani. Wana Iringa wanakuhitaji ukiwa umevaa sare za ukweli, Haki na uwajibikaji .

Peter utabaki kuwa Msigwa tu tunaekujua. Bado hujazeeka kabisa kusema unastaafu siasa za harakati na hoja. Nawajua wanasiasa wachache mno hapa Tanzania wanaweza kufika level yako ya ujenzi na utetezi wa hoja. CCM hauna hiyo platform kaka lazima tu utakua unajiona hapo eneo sahihi
