Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Just saying..

59,165 просмотров • 11 месяцев назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV11 месяцев назад

Tunayo sifa ya kwanza hawa ni watanganyika wasipewe kipaumbele 1. Zanzibar wao hata vyuo vikuu wanapewa mkopo 100% 2. Grade za shule za Zanzibar F inaanza 15 wakati Bara ni 21 na recall (1990-2009) 3. Zanzibar wana ruhusiwa kuwa na Uraia pacha (Oman na Tanzania wapo wengi sana ) Ila Bara ni majanga 4. Mzanzibari anaruhusiwa kuwa na ardhi Tanganyika, Ila Mtanganyika Hana hiyo 5. Mtanganyika Bidhaa Zake Kama ndizi haziuzwi Zanzibar na wanapigwa Ila wapemba wamejaa Bara wanafanya biashara 6. Ushuru wa uingizaji Bidhaa Zanzibar wamepewa kipaumbele chini Ila kwa wabara wanakamuliwa Kama ng’ombe 7. Deni la Taifa wanalipa Tanganyika Ila kukopa tunakopa sote 8. Mzanzibari Anaweza kuwa Kiongozi bara , yaan akawa DC akawa Raia au makamu wa Rais, Ila Mtanganyika hawezi kuwa hata mwenyekiti wa nyumba kumi kumi Zanzibar Yapo mengi sana

Фото профиля Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai11 месяцев назад

Heavily edited to skew the context and you know better Salim - cheap propaganda always fails to convince

Фото профиля Gmmy
Gmmy11 месяцев назад

Don't forget this.....

Фото профиля 𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼
𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼11 месяцев назад

Kwa maneno haya ya baba wa taifa na kwa hatua tuliyofikia Nchi yetu sasahivi ili tuzuie udini na Ukabira best solution ni REFORMS Kuanzia kwenye Tume Ya uchaguzi n.K Easy.

Фото профиля Sengo
Sengo11 месяцев назад

Hawa ndio walikua waandishi habari sio nyie chawa wa siku hizi.

Фото профиля 𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨
𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨11 месяцев назад

Reforms zitatuokoa na haya.

Фото профиля Goodluck
Goodluck11 месяцев назад

Katika vitu Nyerere alijitahidi ni kukomesha ukabila. Sio Rwanda tu huko Kenya sio pw. Hata Raisi Ruto huyu anapigwa vita miongoni mwa factors ni Ukabila.

Фото профиля ULIZA MDUDESOKA
ULIZA MDUDESOKA11 месяцев назад

@SuluhuSamia tayari ana sifa zakibaguzi. Warabu wanauziwa tanganganyika. Viongozi wa MAKANISA WANASHABULIWA na MAKANISA YANAFUNGIWA.💔🥹 Watanganyika WANATEKWA na KUUWAWA. Masaai Ngorongoro wamebaguliwa sana na KUWAUA. CHADEMA wamebaguliwa hawatakiwi WANAITWA WAAINI. WANAPOTEZWA.

Фото профиля Dady Joseph
Dady Joseph11 месяцев назад

Maraisi wa dini ya kikristo wamekuwa kipaombele sana kwenye kuusema ukweli na kuwa na vision kwa taifa ila watu huupinga huo ukweli ndo tunapo angamia

Похожие видео

Just saying . . . .
0:32

Sensitive content

Just saying . . . .

ML Smith

48,429 просмотров • 10 месяцев назад