Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

59,262 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

9 Yorum

Tanzania Abroad TV profil fotoğrafı
Tanzania Abroad TV1 yıl önce

Tunayo sifa ya kwanza hawa ni watanganyika wasipewe kipaumbele 1. Zanzibar wao hata vyuo vikuu wanapewa mkopo 100% 2. Grade za shule za Zanzibar F inaanza 15 wakati Bara ni 21 na recall (1990-2009) 3. Zanzibar wana ruhusiwa kuwa na Uraia pacha (Oman na Tanzania wapo wengi sana ) Ila Bara ni majanga 4. Mzanzibari anaruhusiwa kuwa na ardhi Tanganyika, Ila Mtanganyika Hana hiyo 5. Mtanganyika Bidhaa Zake Kama ndizi haziuzwi Zanzibar na wanapigwa Ila wapemba wamejaa Bara wanafanya biashara 6. Ushuru wa uingizaji Bidhaa Zanzibar wamepewa kipaumbele chini Ila kwa wabara wanakamuliwa Kama ng’ombe 7. Deni la Taifa wanalipa Tanganyika Ila kukopa tunakopa sote 8. Mzanzibari Anaweza kuwa Kiongozi bara , yaan akawa DC akawa Raia au makamu wa Rais, Ila Mtanganyika hawezi kuwa hata mwenyekiti wa nyumba kumi kumi Zanzibar Yapo mengi sana

Maria Sarungi Tsehai profil fotoğrafı
Maria Sarungi Tsehai1 yıl önce

Heavily edited to skew the context and you know better Salim - cheap propaganda always fails to convince

Gmmy profil fotoğrafı
Gmmy1 yıl önce

Don't forget this.....

𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼 profil fotoğrafı
𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼1 yıl önce

Kwa maneno haya ya baba wa taifa na kwa hatua tuliyofikia Nchi yetu sasahivi ili tuzuie udini na Ukabira best solution ni REFORMS Kuanzia kwenye Tume Ya uchaguzi n.K Easy.

Sengo profil fotoğrafı
Sengo1 yıl önce

Hawa ndio walikua waandishi habari sio nyie chawa wa siku hizi.

𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨 profil fotoğrafı
𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨1 yıl önce

Reforms zitatuokoa na haya.

Goodluck profil fotoğrafı
Goodluck1 yıl önce

Katika vitu Nyerere alijitahidi ni kukomesha ukabila. Sio Rwanda tu huko Kenya sio pw. Hata Raisi Ruto huyu anapigwa vita miongoni mwa factors ni Ukabila.

ULIZA MDUDESOKA profil fotoğrafı
ULIZA MDUDESOKA1 yıl önce

@SuluhuSamia tayari ana sifa zakibaguzi. Warabu wanauziwa tanganganyika. Viongozi wa MAKANISA WANASHABULIWA na MAKANISA YANAFUNGIWA.💔🥹 Watanganyika WANATEKWA na KUUWAWA. Masaai Ngorongoro wamebaguliwa sana na KUWAUA. CHADEMA wamebaguliwa hawatakiwi WANAITWA WAAINI. WANAPOTEZWA.

Dady Joseph profil fotoğrafı
Dady Joseph1 yıl önce

Maraisi wa dini ya kikristo wamekuwa kipaombele sana kwenye kuusema ukweli na kuwa na vision kwa taifa ila watu huupinga huo ukweli ndo tunapo angamia

Benzer Videolar

Just saying . . . .
0:32

Sensitive content

Just saying . . . .

ML Smith

48,458 görüntüleme • 1 yıl önce

Just saying lol
0:27

Sensitive content

Just saying lol

alex

65,014 görüntüleme • 9 gün önce