正在加载视频...

视频加载失败

59,165 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

9 条评论

Tanzania Abroad TV 的头像
Tanzania Abroad TV1 年前

Tunayo sifa ya kwanza hawa ni watanganyika wasipewe kipaumbele 1. Zanzibar wao hata vyuo vikuu wanapewa mkopo 100% 2. Grade za shule za Zanzibar F inaanza 15 wakati Bara ni 21 na recall (1990-2009) 3. Zanzibar wana ruhusiwa kuwa na Uraia pacha (Oman na Tanzania wapo wengi sana ) Ila Bara ni majanga 4. Mzanzibari anaruhusiwa kuwa na ardhi Tanganyika, Ila Mtanganyika Hana hiyo 5. Mtanganyika Bidhaa Zake Kama ndizi haziuzwi Zanzibar na wanapigwa Ila wapemba wamejaa Bara wanafanya biashara 6. Ushuru wa uingizaji Bidhaa Zanzibar wamepewa kipaumbele chini Ila kwa wabara wanakamuliwa Kama ng’ombe 7. Deni la Taifa wanalipa Tanganyika Ila kukopa tunakopa sote 8. Mzanzibari Anaweza kuwa Kiongozi bara , yaan akawa DC akawa Raia au makamu wa Rais, Ila Mtanganyika hawezi kuwa hata mwenyekiti wa nyumba kumi kumi Zanzibar Yapo mengi sana

Maria Sarungi Tsehai 的头像
Maria Sarungi Tsehai1 年前

Heavily edited to skew the context and you know better Salim - cheap propaganda always fails to convince

Gmmy 的头像
Gmmy1 年前

Don't forget this.....

𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼 的头像
𝘀𝗶𝘆𝗲𝗻𝗴𝗼1 年前

Kwa maneno haya ya baba wa taifa na kwa hatua tuliyofikia Nchi yetu sasahivi ili tuzuie udini na Ukabira best solution ni REFORMS Kuanzia kwenye Tume Ya uchaguzi n.K Easy.

Sengo 的头像
Sengo1 年前

Hawa ndio walikua waandishi habari sio nyie chawa wa siku hizi.

𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨 的头像
𝐋𝐮𝐭𝐡𝐞𝐫 𝐀𝐤𝐲𝐨𝐨1 年前

Reforms zitatuokoa na haya.

Goodluck 的头像
Goodluck1 年前

Katika vitu Nyerere alijitahidi ni kukomesha ukabila. Sio Rwanda tu huko Kenya sio pw. Hata Raisi Ruto huyu anapigwa vita miongoni mwa factors ni Ukabila.

ULIZA MDUDESOKA 的头像
ULIZA MDUDESOKA1 年前

@SuluhuSamia tayari ana sifa zakibaguzi. Warabu wanauziwa tanganganyika. Viongozi wa MAKANISA WANASHABULIWA na MAKANISA YANAFUNGIWA.💔🥹 Watanganyika WANATEKWA na KUUWAWA. Masaai Ngorongoro wamebaguliwa sana na KUWAUA. CHADEMA wamebaguliwa hawatakiwi WANAITWA WAAINI. WANAPOTEZWA.

Dady Joseph 的头像
Dady Joseph1 年前

Maraisi wa dini ya kikristo wamekuwa kipaombele sana kwenye kuusema ukweli na kuwa na vision kwa taifa ila watu huupinga huo ukweli ndo tunapo angamia