Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kenya sio Africa Mashariki
112,753 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Huyu bint ana miaka 28 ana akili kubwa namna hii nawaza tu wale wakina SHILOLE wakina MONALISA sijui akina WEMA SEPETU wana MIAKA 45 bado ni MACHAWA tu na hawawezi kutumia hata uwezo wao wa UMAARUFU ku kupinga MADHULMAT ya vizazi vyao rubbish🚮🚮🚮

Ameongea kwa uchungu sana. Kuna tweet moja niliwahi kusema kuwa Arab spring iliyoleta changes North Africa itakuja kutokea East Africa na sijui tutaiita Swahili spring au African spring. Haiko mbali.

Katika Afrika ya mashariki kenya ndio watu wanaojitambua na kutambua haki zao katika serikali yao.

Kenya haikuwa na Nyerere

Ubinafsi wa nafsi za kibongo, hakuna mmama atakwambia hvi, kenyan minds r unbelievable aiseeh ✌🏾

Kesho ni ile siku💪💪💪💪

Africans are fast learners brother, just watch and see! The wave of social, political and economic awareness will sweep across the entire continent. Good things are coming

Kenya wametuachia mbali sana hata vyama vyao vya siasa walishahama huko wapo kwenye muungano. Hutosikia mwanasiasa kaikimbia nchi Bali utasikia mwanasiasa kakimbizwa na nchi (Mzee Miguna) yapo mengi wametuacha mbali.Hizi issue za Maandamano ni matokeo ya mifumo na uwazi wao.

Kenya imeiacha Tanzania miaka 100 nyuma...Kinacho sumbua Tanzania ni watu wengi pamoja na viongozi kuwa wajinga

Afu sisi tuna akina Mwamposa na kina Tony na yule maza mchaga kutwa mada za kunyanduana


