Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Kila mtu anataka kuwa...
11,784 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
9 Kommentare

Sikiliza Historia ya Diamond, Alivyoenda kuomba ku-perfom kwenye BSS kipindi bado hajawa Star.. Video kwa Comments 👇

Alichokisema Madam Rita dhidi ya Diamond Platinumz ni ukweli 101% Na Mafanikio yake yanatokana na weledi, kujituma na heshima anayoipa kazi anayoifanya. Diamond hana kazi ndogo hata ukimpa kazi ya kutumbuiza kwenye harusi ni lazima aipe umuhimu na kipaumbele. Anaheshimu sana weledi, ujuzi na taaluma za wengine.

These are propaganda being brewed by Diamond and BSS to water down the poor performance in Trace. They are trying to sanitize and divert people's attention. Very shallow narrative. Tanzanians and Diamond should work smart. Clout doesn't work well. They should stop being thick.

Huyu jamaa anapambana....Sana yaaaan ni full husler

kwamba ilianza bongo star search kabla ya Diamond kutok kimuziki😂😂 shida wabongo unafiki sehemu ya maisha yetu aiseeeee

Ila ukweli ni kwamba diamond ni mtu Safi sana

Otenga ajaona hii 😂😂😂

Hapa kwa watu ajui Tanzania ila wanamjua diamond 🤣🤣🤣watu wamekataa eti sio kwel

Kuna jamaa anaskika kwa mbaali anansema “Sio kweli” 😂😂😂
