Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kila munu avena kwao!!!….💪🏽💪🏽
51,028 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

SEMA MH. WE NI MUONGO SANAAA, YAAANI HAKUNA KIONGOZI ALIYEWAI KUWA MUONGO KAMA WEWEEEE 😂😂😂😂😂

NEW CHIP IN TOWN! NO SEED OILS! CORN - TALLOW - SALT

Mzee nikikuona hadi leo hauna gari ya maana kwenye parking yako na umekaa kwenye serikali miaka mingi kweli nakuonea huruma nadhani ulijisahau kama wenzio walivyojaza magari ya maana kwenye parking wakiwa viongozi shida hukutengeneza mapema 😅

Nikutahadharishe tu, mwaka huu hutopitishwa kugombea ubunge, sasa sijui hiyo Rangi kwenye ford kama inasababu ya kuendelea kuwa kijani.

Mtoto wa kiume kuchambua bamia 👇👇👇👇

Mwana are you wenu....??? Hello vetu Shikamoo Marhaabaaah....×3 Lunjeru...😂🤣🤣 Tapeli.....

Hapo kwenye bamia Sasa tuko pamoja

Samahani mheshimiwa una kijana/binti mwenye umri wa miaka angalau 25?

True, but mjisikie aibu pia na umasikini uliopo kwenu. Mfanye maendeleo muache maneno, Lindi ni miongoni mwa mikoa masikini sana, umasikini wake unaonekana hata kwa macho ukifika huko

Siku Ile unatekwa na bashite na kutaka kukupoteza sijui Kitenge alitokea wapi kukuokoa ww kitambi mbinyoo km utapiamlo

Hapa ni mtama mh?
