Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kuimba ni kusali mara mbili😍
15,900 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 9

Iman Julius1 год назад
Yes jana hii kanisan kwetu kinyerez tulikuwa na missa nzur sana tuliungana na segerea, kisukuru na kifuru pia

elly1 год назад
Kama hujawahi kuimba kwaya hili vibe huwezi lielewa

Marcednyo1 год назад
Hakika kabisa Uo wimbo lazima ujongee mazabahu ya bwana kupokea baraka tena kwa Unyenyekevu🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Shamba Boy1 год назад
Mara nyingi Kuimba huleta Umoja wa roho na Mwili

NinjasAlpacino1 год назад
Ukiwasikiliza vizuri hao ni sauti ya tatu(3). Sauti ya kachumbali😂😂😂

Classickizito1 год назад
Aisee jamaaa anaimba Toka ndani 🔥🔥

Ludo Mwikwabe🤪🤪🤪🤪1 год назад
Dah.,,,utume nninaoupenda sana #15yrs till today,,,kuimba ni haha..

G-Junior1 год назад
Ukisikia Tumwimbie Bwana katika Roho na kweli ndo hii👏👏👏👏

shinjimagere1 год назад
Tenors 🙌👏👏🥳


