Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

142,970 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀's profile picture
🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀1 year ago

Part 2

🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀's profile picture
🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀1 year ago

Part 3

Millian🇹🇿🇨🇵's profile picture
Millian🇹🇿🇨🇵1 year ago

Nilichoona jamaa kamtaja Mungu kuliko kitu chochote. Jamaa ameonyesha kwa vitendo Tafsir ya mafanikio sio pesa basi tu ni vile umbumbu wa duniani

mkushi's profile picture
mkushi1 year ago

Namjua sana huyu jamaa anaishi kawe ukwaman na alishawahi kuiba mtungi wangu wa gesi na kingereza chake hicho nilikuwa sina pesa ndani niliumia kichizi

AL HelmsMan's profile picture
AL HelmsMan1 year ago

Side dalali wa magari mpaka kuwa mfanya biashara wa magari, mwanangu uyu sana nampata tume hustl nae sana, ila Jah ndio kaanza kumbless

Kenan's profile picture
Kenan1 year ago

Kitu nimeshika hapo ni kwamba Jamaa alikuwa na Pesa zikakata akakata mpaka Ringi sasa amerudi Kwenye Mstari aloo🙌

Choma Deodatus's profile picture
Choma Deodatus1 year ago

Wanaume Mungu alituumbia mioyo yetu tofauti kabisa. Wanaume tunamioyo mizuri ndio maana tunapendana, Ndio maana tunaweza hata kuishi na watoto ambao sio wako kwa roho safi kwa sababu mioyo yetu imejaa upendo. Umewahi kujiuliza kwanini wamama wengi wanawapenda watoto wa kiume.?

Kipengele's profile picture
Kipengele1 year ago

Nimekula hadi utulivu jamaa ndio hivo binafsi naona kaamua kujifia na madini yake..

D's profile picture
D1 year ago

Ukiwa na akili timamu tu. Utajua kuna la kujifunza kutoka kwa kila mtu.

harmy_special's profile picture
harmy_special1 year ago

kuna video nyingine huyu jamaa anamwambia mwanae ampe kazi kachoka maisha ya uteja huyu mwamba ni smart generation sana

Related Videos