Loading video...
Video Failed to Load
Kuna jmaa anasema dunia ni flat.
12,028 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Kwahiyo ata kwa sense ya kawaida huoni hiyo ni greenscreen vidio!! mavidio ya kutengeneza lab na vidio za uhalisia huwezi tofautisha ? hiyo move ya dunia kwa speed inayozunguza ukiwa uko juu uyafanya timing gani kurudi nchi uliyotoka kama inazunguka ? Unashindwa kujiuliz ata hayo

Punguza ujuaji. Video zimetolewa na The European Space Agency (Eka).

I'm Aloha Yumemi! I live in Osaka, Japan♡ I love eating! Thanks for the likes😆😆😆💖💖💖💖💖 Please follow me😽💖

hiyo sio picha halisi ya Dunia , ni CGM .. alafu kutokana na thiory yao .. kasi ya dunia hakuna chombo inaweza kunasa mzunguko wake ama hapo wameweka slowmotion 😂😂😂

Dunia inazunguka kwenye mlingot wake kwa speed ya 1600km/hr. Kombora la hypersonic linaenda kwa speed ya 5000km/hr na linakuwa filmed.

Na hiyo camer wanayoichukulia ni ile yakufanya kitu kionekane duara na waweze kuchukua picha ya kitu kikubwa mithili ya Duara

Labda huko kwao!

Mmh ebu wewe utueleze ambaye unasema sio flat

Satelite mbona hazionekani hapo? Na wanasema zimezagaa sana kuizunguka dunia

Iyo ni picha ya satelite

Dunia ni Flat ndio,
