Loading video...
Video Failed to Load
"Kusema cha ukweli..." 😆
10 Comments

Kuna mambo mengine unatakiwa kukaa nayo tu pasipo kuyasema hasa kama umedanganya kwenye mahusiano.

mwanzo wa trust issues kwenye mahusiano yao, I don’t think huyu dada atamuamini tena next time

"Gen Z miyeyusho, mwanaume haitakiwi kukubali ata ukikamatwa una Zini kataa." ~ @NgowiGold

Nipeni number yake nimuwekee kitu chochote pale M-Pesa

Angeendelea tu kuficha uongo wake na sio kwamba hatujui tunadanganywaga ila shauri yake…

— a finished man.

Never ever come clean,esp in situation like this🚮😆

Kategwa na tabasamu kwamba hakuna shida we nambie tu, akajaaa

Huyu fala kwann kasema ukweli? Tulishakubalian hakuna kusema ukweli hata ikamaatike vipi

Smh 🤦🏾♂️ unakubalije kijinga hivi 😟
Related Videos
Haifai kutukana, ila kusema ukweli, sio matusi
Shekh Ally Mohamed (Kadogoo)
17,203 views • 2 years ago
Mbogamboga wasije wakamuua kijana kwa kusema ukweli.
Martin Maranja Masese
146,414 views • 2 years ago
Sensitive content
Lakini kusema tu ukweli hawa madem hucheza uchi kwa klabu huwa wanaolewa na akina nani😂 Kila mtu ameona sehemu nyeti zao😂😂
~•𝐊𝐔 𝐂𝐎𝐌𝐑𝐀𝐃𝐄•~
36,153 views • 1 month ago
