Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Kipindi cha JPM sidhani kama angeweza kusema aya 😭
39,518 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

Mbona kawaida hiyo.Kwa mtu kama Kigwangala hawez kukosa b.10.Maana ukienda kwenye matajirj mule bungeni hiyo B.10 yake ni ndogo sna.Angesema cash hapo ndo tungeshangaa ila asset value ni kawaida kwa mtu kam yeye.

Tumbo ambalo limelewa halijawahi kuiacha akili ikawa salama,Hapo anaonyesha wazi ubunge ni sehemu ya kusaka utajiri na vyeo siyo kutatua kero za wananchi..Ujinga wa wapiga kura na shida zao ndio mtaji wao..kujizolea utajiri

Achana na JPM. Ushaenda Nzega vijijini? Sidhani kama nchi hii kuna jimbo maskini kama huku kwa Bilionea Kigwangala!

Kuwa tajiri siyo jambo baya. Kibaya ni ufisadi. Ila tungekuwa matajiri tungeishi vizuri zaidi. Ni vizuri tujifunze kwa matajiri na siyo kuwachukia. Kama mtu ni mtoto wa masikini kabisa na anakua bilionea cha msingi cha kufanya ni kujaribu kujua ni njia gani ametumia…

Lakini huyo c alisema juzi baada ya kushushwa cheo alitetereka shuleni ada za watoto ikaanza kuwa tabu mara madeni bank wakaanza kumtembelea. Dah.

Bilionea alienda kukopa pikipiki kwa mwamedi😂

Afu mnakuja kutuambia nchi imepiga hatua kumbe viongozi wamepiga hatua

Utalii kapiga nyingi sanaa mabillion

Umasikini sio sifa

Moja ya waandishi wa habari wanaofanya vizuri katika tasnia ya habari.
