Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kwa ajili ya Mwenyekiti
24,787 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Kwa wasiofahamu, Anayezungumzwa hapo ni mojawapo ya wenyeviti wa 2020. #kwahisaniyaMagu

Brother uliwahi kusema acha shida na changamoto zinazosababishwa na ccm kwetu sisi wananchi zituegemee make sometimes most of the time huwa tuna tabia ya kujizima data,tunashangilia mission za ccm ambao hawana uchungu na watu wa nchi hii

Kuna maeneo wamama wanateseka sana, na hili pia kama mama yangu asingekuwa imara yangetukuta kabisa inauma sana

Wanawake sio watu wa kuwaamini sana maana matatizo mengi ktk familia wao ndo chanzo kikuu. Unyenyekevu wa waume zao hawana wao ni ubabe tu sasa wanaume wanafanya maamuzi ambayo matokeo yake ndo tunayoyaona.

Machungu sana kwakweli watu wamejeruhiwa sana mioyo yao

Nimeumia sana sijui kwann nchi tumefika hatua hii any way ccm imeumiza sana watu.

Ccm ni tatizo sana wenyeviti wa magufuli hawa..

Waziri wa Ardhi nyumba na makazi @JerrySilaa juzi tu Arusha na mikoa mingine walikuwa na program inaitwa kliniki ya Ardhi sasa sijui kama imefikia walengwa hasa wale wasio na uwezo kiuchumi au ni ubakaji wa haki wa viongozi kama mwenyekiti hapo.

Mwenye kiti huyu ni tapeli na akamatwe

Mama ameniliza huyu!
