Loading video...
Video Failed to Load
Let’s share the message
161,359 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Kwa nini masilipie ads, Hii meseji ikawepo Twitter, Instagram na Facebook Kwa kusambaa Kwa wingi zaidi. Lipieni matangazo yake na views za kutosha mbona CCM wanafanya sana kupusha agenda zao?

Amazing song it's so sensentional🎉🎉 Hongera sana MH LEMA Watanzania tuu support wimbo huu ufikie wengi zaidi 💪💪💪

Need someone to manage your social media pages and content? 👍 Send us a message! 💬

Kweli Lema kazi hii unaifanya kutoka ndani ya moyo wako. Binafsi nishachangia mara 2 hiyo tone na rist natunza pia wiki hii lzm nichangie tena

Good work. Pia waimbaji wa nyimbo za dini waimbe juu ya haki na uovu wa uchaguzi feki katika nchi

Lema 🙌🔥

Big brain✌🏾

Hit song 2025

Umetisha sana Kamanda, What an IDEA!!!!

Ukisikiliza kwa makini kuna vimachozi vinakujia kwa mbali, na huku moyo ukiwa umejaa gadhabu sana. Naikumbuka sarafina, ccm ni laana, wameshindwa kila kitu. Nchi imekosa future tupo tupo tu, kilichobaki ni kujineemesha wao na kuchota pesa zetu hovyo. Sema nini balidi ipo siku.

Hatari sana hongera kamanda
