Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Let’s share the message

161,370 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Nembo
Nembo1 год назад

Kwa nini masilipie ads, Hii meseji ikawepo Twitter, Instagram na Facebook Kwa kusambaa Kwa wingi zaidi. Lipieni matangazo yake na views za kutosha mbona CCM wanafanya sana kupusha agenda zao?

Фото профиля Mkinga Freddie Mlowe PHD
Mkinga Freddie Mlowe PHD1 год назад

Amazing song it's so sensentional🎉🎉 Hongera sana MH LEMA Watanzania tuu support wimbo huu ufikie wengi zaidi 💪💪💪

Фото профиля Assist
Assist2 лет назад

Need someone to manage your social media pages and content? 👍 Send us a message! 💬

Фото профиля Mkuu Wa Shule
Mkuu Wa Shule1 год назад

Kweli Lema kazi hii unaifanya kutoka ndani ya moyo wako. Binafsi nishachangia mara 2 hiyo tone na rist natunza pia wiki hii lzm nichangie tena

Фото профиля Donald Maziku
Donald Maziku1 год назад

Good work. Pia waimbaji wa nyimbo za dini waimbe juu ya haki na uovu wa uchaguzi feki katika nchi

Фото профиля Kinaa
Kinaa1 год назад

Lema 🙌🔥

Фото профиля Angas Oketch
Angas Oketch1 год назад

Big brain✌🏾

Фото профиля Michael Mwageni
Michael Mwageni1 год назад

Hit song 2025

Фото профиля YOUNG GENERATION TANZANIA 🇹🇿
YOUNG GENERATION TANZANIA 🇹🇿1 год назад

Umetisha sana Kamanda, What an IDEA!!!!

Фото профиля SPOTTED HYENAS🦊
SPOTTED HYENAS🦊1 год назад

Ukisikiliza kwa makini kuna vimachozi vinakujia kwa mbali, na huku moyo ukiwa umejaa gadhabu sana. Naikumbuka sarafina, ccm ni laana, wameshindwa kila kitu. Nchi imekosa future tupo tupo tu, kilichobaki ni kujineemesha wao na kuchota pesa zetu hovyo. Sema nini balidi ipo siku.

Фото профиля BABA IAN
BABA IAN1 год назад

Hatari sana hongera kamanda

Похожие видео