Loading video...
Video Failed to Load
LIFEโฆ..Sometimes ๐ฅบ๐
195,154 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
10 Comments

Baba alihamia baa na akaamua kuchafua Meza familia akaikataa na Mama.hakua na fedha . Ikamlazimu Mama achape kazi ili tupate mkate wakila siku na kuupata ilikua bahati maana wakati mwingi hakukua na kitu. @FidQ

take the journey

Movie kali sana hii๐huyu Dada alimsomesha mwanaume,,alikuwa anafanya juu chin apate pesa ili mpenzi wake asome,,akabebeshwa mimba ,,sasa mpenzi wake akamuahid atakja kumuoa akimaliza masomo. Kamaliza masomo kajipata kaenda kuoa mwanamke mwingine akamuacha huyu anateseka na mtoto๐ญ๐ญ๐ญ. Ok mwsnaume pia hasomeshwi . Jina la movie HOW WE GOT HERE

Situation Kama inakufunza kuwa mwanamke anaweza kuwa na mawazo ambayo kiuhalisia ikiwa ni kwa sisi wanaume unaweza kujinyoga ila wao wana roho ngumu sana wakimwaga machozi imeisha wanachukua hatua kwa wazo litakalo wajia hapo kwa hapo

Single maza?? Sema wanatiaga huruma ila jichanganye kumuoa sasa ๐ถ๐ถ๐ฎ

Wanaume wenzangu narudia tena wanaume wenzangu....Hikikisha kitu pekee kitakachofanya ushindwe kuhudumia familia yako ni kifo. Hata Mke akiwa miyeyusho achana nae ila hakikisha unahudumia watoto. Tuliopitia hizi life tunajua mama zetu wamepitia mbanga ngumu kiasi gani

Aisee...!! Kuna situation sio za kukumbuka kabisa kwenye haya maisha

Ingeishia hapo Roma anaingia ndani anawapa kibunda mama anafurahia na mwanae Ingenoga sana kuliko kuishia movie na kilio tu ๐ช๐ช๐ช

Huyu na mimi tofaut jinsia ila mapitio yetu sawa omba mungu kikombe hicho kikuepuke

Kuna wengine 'sometimes' Kuna wengine 'most of the times' Kuna wengine 'all the time' It is what it is, and you can do nothing about it. That's life.
