Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

195,236 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Houston's profile picture
Houston1 year ago

Baba alihamia baa na akaamua kuchafua Meza familia akaikataa na Mama.hakua na fedha . Ikamlazimu Mama achape kazi ili tupate mkate wakila siku na kuupata ilikua bahati maana wakati mwingi hakukua na kitu. @FidQ

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

iкэ✨️'s profile picture
iкэ✨️1 year ago

Movie kali sana hii😂huyu Dada alimsomesha mwanaume,,alikuwa anafanya juu chin apate pesa ili mpenzi wake asome,,akabebeshwa mimba ,,sasa mpenzi wake akamuahid atakja kumuoa akimaliza masomo. Kamaliza masomo kajipata kaenda kuoa mwanamke mwingine akamuacha huyu anateseka na mtoto😭😭😭. Ok mwsnaume pia hasomeshwi . Jina la movie HOW WE GOT HERE

.𝔠𝔥𝔲𝔤𝔞 𝚔𝔦𝔫𝔤👑's profile picture
.𝔠𝔥𝔲𝔤𝔞 𝚔𝔦𝔫𝔤👑1 year ago

Situation Kama inakufunza kuwa mwanamke anaweza kuwa na mawazo ambayo kiuhalisia ikiwa ni kwa sisi wanaume unaweza kujinyoga ila wao wana roho ngumu sana wakimwaga machozi imeisha wanachukua hatua kwa wazo litakalo wajia hapo kwa hapo

Robin Hood's profile picture
Robin Hood1 year ago

Single maza?? Sema wanatiaga huruma ila jichanganye kumuoa sasa 🚶🚶🚮

Impinge's profile picture
Impinge1 year ago

Wanaume wenzangu narudia tena wanaume wenzangu....Hikikisha kitu pekee kitakachofanya ushindwe kuhudumia familia yako ni kifo. Hata Mke akiwa miyeyusho achana nae ila hakikisha unahudumia watoto. Tuliopitia hizi life tunajua mama zetu wamepitia mbanga ngumu kiasi gani

BIDEN's profile picture
BIDEN1 year ago

Aisee...!! Kuna situation sio za kukumbuka kabisa kwenye haya maisha

MASTER PIZO's profile picture
MASTER PIZO1 year ago

Ingeishia hapo Roma anaingia ndani anawapa kibunda mama anafurahia na mwanae Ingenoga sana kuliko kuishia movie na kilio tu 😪😪😪

MTWARA BOY's profile picture
MTWARA BOY1 year ago

Huyu na mimi tofaut jinsia ila mapitio yetu sawa omba mungu kikombe hicho kikuepuke

Boniface Bazil's profile picture
Boniface Bazil1 year ago

Kuna wengine 'sometimes' Kuna wengine 'most of the times' Kuna wengine 'all the time' It is what it is, and you can do nothing about it. That's life.

Related Videos