Loading video...
Video Failed to Load
Lile swali ni hili hapa
56,261 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Jamaa baada ya kuuliza hilo Swali alianza kupitia magumu sana

Pamoja na ukorofi wake Magufuli alikua na content kichwani! Alijua kujibu maswali kutetea maamuzi yake! Huyu wa sasa mkimuuliza swali kama hili anaparalyze kwa kufikiria namna yakulijibu!

Hili swali lilikua la moto sana, hata ww ungekua mkuu ungemtafuta pembeni mtete ilikuaje ukaniuliza swali zito namna ile mbele za watu

🤣🤣🤣 ila uhuru ukizidi watu wanajisahau aseee

📷 A tough day in the jungle—how does this sloth overcome it? The twist you didn’t see coming

Aaah hapana huwezi kuzungumza na mh raisi kwa sauti ila hapana jamaa jasiri sana😎

Amejibi kwa upana sana maana yake rais ana mamlaka ayo yote lakini akiwa anajali maslay ya taifa .ona saiv borkinafaso wanatumia iyoiyo njia na wamefika mbali lakini sisi ndo tunarudi nyuma day by d

Jamaa aliuliza Swali nikamuona mchokozi nitumie namba yake nimuombe msamahaa , Mungu ananiona anisamehe, aliwaza mbele ya muda 🙌

Hivi hili swali likiulizwa sasa jibu lake litakuwa gani? Mzalendo wa nchi

Yaani Swali Zito kwa Rais Alafu Rais mwenyewe ni JPM? Nadhani Bwana Mayala alijibuwa kwa Akili sana,Yaani Kama haufikirii unaweza dhania Rais kakwepa swali Lakini Kumbe Alimjibu Vizuri tu. RAIS NDIO MWENYE MAMLAKA YA HAYO MAMLAKA Hilo ndio lilikuwa jibu😂

Swalii lilomfanya mwamba aonje moto wa gesii
