正在加载视频...

视频加载失败

Lisaa lizima la kusikiliza USENGE.

26,651 次观看 • 4 个月前 •via X (Twitter)

0 条评论

暂无评论

原始帖子的评论将显示在这里

相关视频

Jana nimemsikiliza SIMBA CHAWENE anavyoiongelea CHUKI ya watanzania kwa Jeshi la polisi ni kama imeletwa na MABEBERU. ACHA KUJITOA AKILI WE MZEE, haya ni baadhi ya matukio yaliyotokea ndani ya miezi 8 tu, sasa fikiria matukio ya miaka zaidi ya mitano nyuma na yanayoendelea gizani huko kwenye vituo vya polisi. Leo nimeamka nikujaze akili na najua utapata ujumbe wangu tuu. Nataka ujue kuwa Chuki hii tuliyonayo kwa jeshi la polisi ilipandwa na wao polisi sasa ni muda wa MAVUNO watulie. Watanzania wamekuwa wakipigwa na kuzuiliwa kuenda mahakamani kinyume kabisa na sheria. Licha ya mahakama kusema mara kadhaa wananchi wasizuiwe Jeshi la polisi liligeuza MAHAKAMA KAMA UWANJA WA VITA DHIDI YA WANANCHI KWA KUKIUKA HATA AMRI YA MAHAKAMA. Mwezi wa 4 mwaka huu jeshi la polisi lilikusanya watu wote walioenda mahakamani kusikiliza kesi ya Tundu Lissu na kuenda kuwatesa na kuwavunja Miguu na migongo wananchi na kuwatupa kwenye fukwe za bahari na wengine kwenye misitu huko pande. Murilo alipoulizwa alisema jeshi lake la polisi halihusiki na huku tuliona kabisa wao na magari yao na sare zao wakipiga watu nje ya mahakama na kuondoka nao-majibu ya JEURI kama kawaida yake. Mkuu wa mkoa HARAMU CHALAMILA alijibu nae kwa jeuri kwa kusema Dar hakuna MAPORI hayo mapori yapo wapi, kwahiyo waliopigwa na kuvunjwa wanaleta Sanaa. Oktoba 29 jeshi la polisi walikuwa wakifuata vijana majumbani na kuwapiga risasi za vichwa na kupotea nao, miili mingi imepotezwa ndugu wameshindwa kuzika wapendwa wao. Badhi waliobahatika kuishi waliteswa na kuvunjwa miguuu bila sababu na kupewa kesi za uhaini. Kwa haya machache unataka POLISI AKIFA AU AKIPATA AJALI TUUMIE? NA UNATAKA TUSHIRIKANE NA HAWA WATU MAGAIDI HIVI WAKINA MAFWELE ,MURILO NA GEORGE AMBAO NDIO WANATOA AMRI YA YOTE HAYA. WATU SIO WAPUMBAVU JIHESHIMU. TUTAKUWEPO🫵😎

SIR TIVA

12,436 次观看 • 8 个月前