Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Mafinga happening now!

14,736 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Amanitz
Amanitz1 год назад

Mifumo uliyoipigia kelele bado Iko vilevile ujitahidi kuwaambia kwa sababu uko nao karibu.

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

will we ever land on Mars?

Фото профиля Kataa Wahuni
Kataa Wahuni1 год назад

Sema bro pamoja na mambo yote ulitanguliza tumbo mbele kuliko maslahi ya Taifa hebu niambie ile Ccm uliyokuwa unaipiga spana kuwa ni wala rushwa na maadui wa demokrasia eti Leo upo huko. AMA KWELI NJAA NI ADUI WA MSIMAMO!

Фото профиля It all started in 1948🇹🇿🇵🇸
It all started in 1948🇹🇿🇵🇸1 год назад

Tupo kwenye nyakati ambazo watu wanajivunia Yale ambayo walipaswa kuona aibu.

Фото профиля verys
verys1 год назад

Tunakupenda msigwa Kasoro zako ni chache kuliko mazuri🥹 CCM tunakuhitahi sana tu

Фото профиля chafupozi
chafupozi1 год назад

Utaimiss sana chadema msigwa japo huwez kusema ila najua Moyo unauma coz ndicho chama pekee kilicho kutoa gizani

Фото профиля Chibu Danny 🇹🇿
Chibu Danny 🇹🇿1 год назад

Sasa hapo kuna kitu gani kipya sasa Malori yamefanya kazi usiku kucha ni kama Maswa Simiyu leo yupo mzee wa kusinzia watu wanasombwa hadi na Tipa mchanga!! 😂😂

Фото профиля Malovela
Malovela1 год назад

Kutoka kuwasemea watu mpaka kulitetea tumbo nayo ni evolution kubwa sana.

Фото профиля Joelkasheba
Joelkasheba1 год назад

Ww na Gwajima mmesababisha niwaone wachungaji nao ni madalali

Фото профиля verys
verys1 год назад

Hii kitu chadema wakiona watasema wamesombwa na mabus😂😂

Фото профиля IS.MJ
IS.MJ1 год назад

Chama cha wezi, chama chakavu, chama cha machawa, watu waliojizima data ili mradi yao yaende.

Похожие видео