Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

59,594 views • 2 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

Furaha Nzunda's profile picture
Furaha Nzunda2 years ago

Vijana wa hovyo, Lindi ni kamkoa kenye watu maskini sana

Mnada Nchege's profile picture
Mnada Nchege2 years ago

Zile manyani zilizoimbwa kwenye ule wimbo wa yule dada ndo hiziapa sasa

Mnigajia's profile picture
Mnigajia2 years ago

Waliandaa had matishet dah

Baba LeBron's profile picture
Baba LeBron2 years ago

Njaa na unafiki ni vitu vibaya sana. Ndio maana bodaboda wote wanaonekana takataka

maleto's profile picture
maleto2 years ago

Kampeni zilishaanza kitambo ni sisi tu hatujaelewa 😂😂😂. Afu wanataka kushindana na #chadema operation +255. Ila hawatawez watasota sana.

Hardtaget,'s profile picture
Hardtaget,2 years ago

Usipojitambua inakughalimu mno. Hata ukawa na shule lakini usijitambue nn unafanya kwa manufaa gani hilo ni tatzo. Ndo mana kauli zao ni katiba ni kijitabu vijana wanashangilia! Bandari inakusaidia nn piga kazi vijana shangilia ! Kushabikia siasa ni ushamba vijana shangilia

el Profesor's profile picture
el Profesor2 years ago

Kazi kweli kweli

Azizi twaha.'s profile picture
Azizi twaha.2 years ago

Badala Waseme mafuta ya mepanda wanasema akifa haozi

Ahmadbakari✌'s profile picture
Ahmadbakari✌2 years ago

Mavazi,mabango,na kila kitu kimeandaliwa dar,wamevishwa kumlaghai rais,haisadii kuondoa ugumu wa maisha🤔

Related Videos