Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Mayai kwa afya ya akili!

71,289 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Silent Whisper profil fotoğrafı
Silent Whisper1 yıl önce

Usije ukakanyaga juu ya mayai ukadhani jukwaa la sisiemu....

公式:ちぃたん☆広島 profil fotoğrafı
公式:ちぃたん☆広島1 yıl önce

I'm Chiitan Japanese crazy mascot☺️Chiitan loves death metal💀💕

Alfred Tarimo profil fotoğrafı
Alfred Tarimo1 yıl önce

Mbona wewe huonekani kama unayatumia sasa🤣🤣. Sijasema huna akili

Cactus KIlindu🌵 profil fotoğrafı
Cactus KIlindu🌵1 yıl önce

Nnacho kukubali unauheshimu uongozi wa lisuu Safi Sana pastor

𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊  profil fotoğrafı
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 1 yıl önce

Juzi nilikuona Benjamini pale umeweka wa mbuzi balaa nikaona noma kuja kukusalimia bwana😂

Nyasbo 5G profil fotoğrafı
Nyasbo 5G1 yıl önce

Boni Yai Kawafumbua Watu Wengi Sasa Kuhusu Kufuga Kuku Wa Mayai!😂Hivi Mna Uhakika Gani Kwamba Mayai Ndo Yamejanga Ghorofa Lake?😂😂

KITASA🔑🧥 profil fotoğrafı
KITASA🔑🧥1 yıl önce

Huyo jamaa ana ujasiri sana kupiga mlege mbele ya mchungaji😂😂

Mwl.Keberenge wa nyasaricho profil fotoğrafı
Mwl.Keberenge wa nyasaricho1 yıl önce

Siasa hailipi . Hongera kwa mradi mzuri sana . Serikali ya CCM ingewapa vijana mitaji wakawekeze kwenye ufugaji badala ya kununua MV8

Elon Michael profil fotoğrafı
Elon Michael1 yıl önce

Unauza mayai lakini mbona wewe hakusaidii akili,,, maana siku zinapo zidi kusonga unaonyesha dalili za wazi kuwa afya yako ya akili haipo sawa

Donald Maziku profil fotoğrafı
Donald Maziku1 yıl önce

Hiyo inaweza kuwa na maana kuliko kujaribu kuipamba ccm na bi kizimkazi

Lucas E. Malembo profil fotoğrafı
Lucas E. Malembo1 yıl önce

Hongera sana #KilimoNiAjira

Benzer Videolar

Mbunge wa Jimbo la Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu ameishauri Serikali kuanzisha mfumo wa kuchangia Bima ya Afya kwa wote kupitia miamala ya simu, ambapo kila Mtanzania angechangia kiasi kidogo cha fedha katika kila muamala anaoufanya. Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27, May 11, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, Kingu amesema Tanzania ina idadi kubwa ya miamala ya simu inayoweza kutumika kama chanzo cha uhakika cha kugharamia huduma za afya bila kuongeza mzigo mkubwa kwa Wananchi. “Nimefanya statistics kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na kusoma ripoti za Benki Kuu ya Tanzania, Tanzania kwa mwaka mmoja inarekodi miamala bilioni 6.3 kwa Watu wanaofanya miamala kwenye mitandao ya simu na miamala mingine, Mchengerwa mnasubiri nini kuja na platform kwenye hii Nchi, sio mkalete tozo mpya zitakazowapa Watanzania mzigo, mimi nawapa mawazo, njooni na ‘coding system’ ambayo itatumia teknolojia ya kisasa Watanzania wako tayari kuchangia Bima ya Afya kwa wote, wanachosubiri ni kupewa mwelekeo,” amesema Elibariki Kingu. Aidha amesisitiza kuwa hata mchango mdogo wa shilingi 10 au 30 kwa kila muamala unaweza kusaidia Serikali kukusanya fedha nyingi zitakazowezesha Wananchi kupata huduma bora za afya bila kuambiwa kwenda kununua dawa nje ya Hospitali. “Kwa hesabu hizi mnaweza mkakusanya trilioni nne mkafadhili Bima ya Afya kwa wote Watanzania wakienda Hospitali wasiambiwe dawa nenda kanunue kwa Mtu fulani,” amesema Elibariki Kingu. #MillardAyoUPDATES

millardayo

27,428 görüntüleme • 1 ay önce