正在加载视频...
视频加载失败
Mdogo wangu nikwambie...
27,760 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
22 条评论

Dotto Magari kamchimba mkwala Dulla Makabila 😂😂😂 Kamwambia apunguze ukali wa Maneno 😂😂😂 Msikilize... Video kwa Comments 👇

Daah Leo saa mbovu imesema kweli nimekukubaki influencer

[NINTENDO] Exclusive Now Available ➡️ #AAAclock ➡️ #SwitchOnline #SwitchOLED

Kati ya siku alizo ongea point leo doto kaongea

Jiunge na channel ya Bongo Juction Kupata updates, juu ya Ajira, na Kinachoendelea kwenye Mitandao Wahi, sasa! Bonyeza link 👇

Verse iliyomfanya aongee hivi 😂😂

By the way wimbo ndani ya Masaa 6 umpanda number 6 treanding 😂😂

Yupo sahihi

Kila mstar anao utoaga doto sijawahi kuuzarau kwakua ni hazina kubwa ya mafunzo anayotupa sisi vijana tunao ishi maisha ya kujitafuta tutamchukulia poa kama huna akili ya kujiongeza ila ni zaidi ya mwalim ktk mtamshi yake

Mr. Lice, aka parasite mkuu tanzania na Africa mashariki na kati Hili libaelekea kua likunguni na sio chawa tena

Dunia ni watu huo ndo ukweli 🤝

Sungura tope

Aah kwelii ndio🤣🤣

Dotto kasema ukweli mtupu.

Oya weeeeh kamnyea sio poah😁😁

Huyo dogo choko tu ye aliachwa mbona safi ye kwenda studio kumsema mzee shoga huyo au tumwambie mzee amuoe yeye mzee pesa ipo akiwekewa mzigo dogo tunaoa huyo na singeli haimbi tena fala huyo

Sungura tope 😂

🤣🤣🤣

Dotto chawa tu, mbona kipindi Dulla kamwacha Hajj kamchukua naye Haji aliongea shit sana kuhusu Dulla.Wasinifanye kuteteana upumbafu. Washamba wote hao

Comments za watu wa yanga sasa

Sungura tope 😂😂😂😂

Ukweli usio pingika huyu Dogo mfumueni kichwani parekebishwe. Maana alichwa ye kwanza sasa Leo kipi kinampa furaha kuachwa Mara? Kumbe inauma?

