Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Mengine NAWAACHIA WENYEWE Mseme 👇
48,627 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Rest in peace the Africa Legend JPM still we remember you even you have passed in our eye 😭😭😭😭

“Watanzania mtanikumbuka, na mimi nataka mnikumbuke kwa mazuri sio kwa Mabaya” 😭😭😭😭

Ohh leo kawa mazuri ehh. Yake ya demokrasia sijui, wapinzani, sijui vyombo vya habari, sijui dictator sijui, mahakama, ohh uchafuzi 2020, ohh sijui CAG etc ni mengi. Ila wanasiasa ni mtihani sana hawa

Ningemsifu sana kama tu angetupatia "KATIBA"ambayo ingelinda rasimali zetu ,hata angeondoka yeye ,rasimali zetu zingelindwa kwa mujibu wa katiba hiyo,yote aliyoona hayafai ,yamegeuzwa yanafaa,ona swala la Bandari kwa mfano,#KATIBA MPYA NI SASA

Pamoja na kuwa dikteta aliweza kuzibiti rushwa

Utaanzia watu kuwaambia wapi mpaka wakuelewe na wewe ulikuwa mstari wa mbele kumponda?

Kaka wewe ndo umepost hii? Dah ogopa ,si ndo nyie nyie

Hawa maprofesa sijui nini huwa kinawachanganya. Prof Kababudi, huyu ana sifa yakuwa na ufaulu mzuri pale UDSM. Lakini alikuja kumuita Rais Mungu! Angalau huyu alikuwa analinda mkate wake, lakini Prof Lumumba hakuwa na cha kupoteza. Kwanini hakuangalia upnde wa pili wa shilingi?

Dah! Naogopa saana kifo, sijui nikifa naenda wapi wajameni.

Ninyi ndio mliowapa nguvu wabaya watumie ubaya wao dhid yake. Mlimkalia kooni kw mabaya ili wabaya wapete nafasi ya kufanya yao kwao. Ninyi ni wabaya San kwetu.

