正在加载视频...
视频加载失败
Migoli jimbo la Ismani.
21 条评论

Hoja petty sana na haikasi uhalisia wala mazingira yetu ya kiuchumi. 1. Hakuna Serikali inaweza kugawa ng’ombe kwa kila mwananchi ili kuchochea diary industry. Haipo 2. Nadhani mnahitaji hoja konki na mbadala ambazo zinatekelezeka sio hizi za kuongopea Wananchi, Heche.

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Huwa mna hoja fulani hivi finyu ila ambazo zimefichwa around “ujanja ujanja sana” ila hazina feasible means za utekelezaji. Kwa mfano Heche. Mazingira gani yanazuia Mwananchi wa Isimani kuwa mfugaji ili amuuzie Asas maziwa ? Kwa hiyo Serikali igawe ng’ombe wawili wawili kwa kila mwananchi afu iweje ? Hizi huwa ni akili kweli au matope ? 😀

Niko inspired kumsikiliza John heche kama ninavyopenda kureview hotuba za (Julius Nyerere na kingunge ) WAPUMZIKE KWA AMANI Wanakitu kimoja in common wanaweza kulink maisha yako na siasa

Kaka unawakaba sana CCM hawalali kuajili yako kamanda, hao wanaotaka kujumu Chama hawana nafasi! Mungu awaongoze viongozi wetu, tutasimama na ninyi nyakati zote Munngu ni mwema #NoReformsNoElection

ila mheshimiwa hoja zenu mbna mnaonekana hamjafanya research. Nafkiria tu hio hoja ipo applicable na procesures gan mtachukua kuhakikisha nchi ya watu 65 million atleast watu 20 million wapate ngombe

Hoja ndogo kama punje ya mtama.

Hoja Finyu

Vijana wa chama tutakilinda chama kwa wivu mkubwa. Hatutaki wenye uchu wa madaraka.

Seriously?? 😒

Hizi siasa huwezi kutoboa bro..siasa ni kama mchezo wa draft inahitaji akili na utulivu sasa wewe kelele tu

Kumbe huwa mnapiga story na asasi mjumbe wa kamati kuu CCM ila wenje mlimuuliza alianzaje anzaje kupiga story na Abdul 😄 sema mnajua kuchota sana akili za watu ambao bado hajaelewa michezo ya siasa za upinzani 😀

Safari ni ndefu wayahudi ni wengi Sana kuliko wanao sadiki watanzania Hasa vijana ni wajinga wapumbavu kabisa kwakuwa akili zimeganda MTU unapewa reference then unapinga bila reference how will you win the battle without weapon 😆😆😆🤣

Piga kazi kiongozi wetu

Hii ni kweli, wajinga hawawezi kukuelewa, tuwavumilie wataelewa taratibu

Wale wahuni wanasema wanataka kushiriki uchaguzi walikuwa wap 2020 kupambana na Magufuli? Wameshindwa ht 2024 serikl za mitaa kupambana na mapoliccm sasa huo uchaguz wa 2025 ndio wataweza kushinda ubunge? Wapumbavu hawana akili kabisa. Demokrasia sio biashara.

Safi Very perfect opinion from a smart leader in opposition political party Homeboy mara hatutoki wakuda Safi Sana brother

Kama kuna nchi sio za kuonea wivu, ni Rwanda

Hold on Brother, Ukombozi haujawahi kuwa Rahisi lakini mara zote huibuka Mshindi. My Prayers are always For You.

CCM haikwepeki kabisa, maana hata huyo ASAS Mwenyewe ni CCM

Shida ulipga mwanamke we na walinzi wako!
相关视频
Sensitive content
Jimbo Cooper 🏴
Will Hochan
20,058 次观看 • 1 年前
