Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Migoli jimbo la Ismani.

30,036 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 21

Фото профиля Eveline Munisi
Eveline Munisi1 год назад

Hoja petty sana na haikasi uhalisia wala mazingira yetu ya kiuchumi. 1. Hakuna Serikali inaweza kugawa ng’ombe kwa kila mwananchi ili kuchochea diary industry. Haipo 2. Nadhani mnahitaji hoja konki na mbadala ambazo zinatekelezeka sio hizi za kuongopea Wananchi, Heche.

Фото профиля Rock Paper Sizzle
Rock Paper Sizzle2 лет назад

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Фото профиля Gogoryo King, NDC
Gogoryo King, NDC1 год назад

Huwa mna hoja fulani hivi finyu ila ambazo zimefichwa around “ujanja ujanja sana” ila hazina feasible means za utekelezaji. Kwa mfano Heche. Mazingira gani yanazuia Mwananchi wa Isimani kuwa mfugaji ili amuuzie Asas maziwa ? Kwa hiyo Serikali igawe ng’ombe wawili wawili kwa kila mwananchi afu iweje ? Hizi huwa ni akili kweli au matope ? 😀

Фото профиля THIRDMAN RUNNER
THIRDMAN RUNNER1 год назад

Niko inspired kumsikiliza John heche kama ninavyopenda kureview hotuba za (Julius Nyerere na kingunge ) WAPUMZIKE KWA AMANI Wanakitu kimoja in common wanaweza kulink maisha yako na siasa

Фото профиля Rhimba Koitumeti RKL
Rhimba Koitumeti RKL1 год назад

Kaka unawakaba sana CCM hawalali kuajili yako kamanda, hao wanaotaka kujumu Chama hawana nafasi! Mungu awaongoze viongozi wetu, tutasimama na ninyi nyakati zote Munngu ni mwema #NoReformsNoElection

Фото профиля he_marly
he_marly1 год назад

ila mheshimiwa hoja zenu mbna mnaonekana hamjafanya research. Nafkiria tu hio hoja ipo applicable na procesures gan mtachukua kuhakikisha nchi ya watu 65 million atleast watu 20 million wapate ngombe

Фото профиля Moker 👁️
Moker 👁️1 год назад

Hoja ndogo kama punje ya mtama.

Фото профиля SAKATA
SAKATA1 год назад

Hoja Finyu

Фото профиля Kenny P. Afisa
Kenny P. Afisa1 год назад

Vijana wa chama tutakilinda chama kwa wivu mkubwa. Hatutaki wenye uchu wa madaraka.

Фото профиля El Chapo🇹🇿
El Chapo🇹🇿1 год назад

Seriously?? 😒

Фото профиля Makaveli🇿🇦
Makaveli🇿🇦1 год назад

Hizi siasa huwezi kutoboa bro..siasa ni kama mchezo wa draft inahitaji akili na utulivu sasa wewe kelele tu

Фото профиля Vigour
Vigour1 год назад

Kumbe huwa mnapiga story na asasi mjumbe wa kamati kuu CCM ila wenje mlimuuliza alianzaje anzaje kupiga story na Abdul 😄 sema mnajua kuchota sana akili za watu ambao bado hajaelewa michezo ya siasa za upinzani 😀

Фото профиля CHAICHAKA😂
CHAICHAKA😂1 год назад

Safari ni ndefu wayahudi ni wengi Sana kuliko wanao sadiki watanzania Hasa vijana ni wajinga wapumbavu kabisa kwakuwa akili zimeganda MTU unapewa reference then unapinga bila reference how will you win the battle without weapon 😆😆😆🤣

Фото профиля shivo tz 💊
shivo tz 💊1 год назад

Piga kazi kiongozi wetu

Фото профиля A Man of Wisdom
A Man of Wisdom1 год назад

Hii ni kweli, wajinga hawawezi kukuelewa, tuwavumilie wataelewa taratibu

Фото профиля Kenny P. Afisa
Kenny P. Afisa1 год назад

Wale wahuni wanasema wanataka kushiriki uchaguzi walikuwa wap 2020 kupambana na Magufuli? Wameshindwa ht 2024 serikl za mitaa kupambana na mapoliccm sasa huo uchaguz wa 2025 ndio wataweza kushinda ubunge? Wapumbavu hawana akili kabisa. Demokrasia sio biashara.

Фото профиля CHAICHAKA😂
CHAICHAKA😂1 год назад

Safi Very perfect opinion from a smart leader in opposition political party Homeboy mara hatutoki wakuda Safi Sana brother

Фото профиля Kilinako Zegeli Shengelo
Kilinako Zegeli Shengelo1 год назад

Kama kuna nchi sio za kuonea wivu, ni Rwanda

Фото профиля Gerry The Warrior...!
Gerry The Warrior...!1 год назад

Hold on Brother, Ukombozi haujawahi kuwa Rahisi lakini mara zote huibuka Mshindi. My Prayers are always For You.

Фото профиля Pretty Katoto💫❤️
Pretty Katoto💫❤️1 год назад

CCM haikwepeki kabisa, maana hata huyo ASAS Mwenyewe ni CCM

Фото профиля Rwabudugu🇹🇿
Rwabudugu🇹🇿1 год назад

Shida ulipga mwanamke we na walinzi wako!

Похожие видео