正在加载视频...
视频加载失败
Mjinga mwenye confidence 😅
11 条评论

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Dogo hajui lolote afu anajifanya anajua sana kisa Futari ya maelekezo😀😀

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Aliambiwa muongozo wa sheria ni kanuni anasema eti kanuni ina muongozo jinga redioni

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Ni kwamba kapanic tu kwa kuwa wanamuattack kwa kila mstari anaozungumza, na washagundua kuwa anapanic wanamjaza upepo zaidi.

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Imagine unakuwa na ndugu wa namna hii ni majanga 😀

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Hans analeta ufala sana sikuizi kuwa shabiki wa team flani kwa mtangazaji sio kosa wala dhambi awe pro tu asiweke hisia.

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu folo nikufolo

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Lakini ndio kitu asiye na ujuzi huwa anakuwa nacho ,huwa wanakuwa na confidence sana 🤣🤣🤣🤣

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Eti polisi nilicheka sna asubuhi

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Huyu bwana mdogo, apotea asaivi hajielew kuna wakati anataka kulazimisha watu watimu flani wako sahihi,ila kiboko yake hakuwepo jemedari.

@privaldinho @shaffihdauda1 @SportsarenatzTz @FKihamu Hiz media ziwe zinafanya vetting kuajiri hawa madogo

