正在加载视频...
视频加载失败
Mwenye kaelewa tafadhali
9 条评论

Mzee anasema Nchi za kiafrika zinakuwa maskini kwasababu yao (nchi zilizoendelea) wanawakopesha waafrika kwa rate kubwa Kisha mwisho wa siku waafrika wanashindwa kulipa, kwahiyo wanaamua kuongeza Kodi wakizani ndio njia pekee ambayo itawasaidia kulipa, mwishowe ni umaskini

Kuna jamaa tu alifungua kiwanda Cha kusanga taka za chupa,yuko kwenye majaribio tu,,,oyaaa aling'oa machine zake akaondoka

Huo ndio ukweli kodi zikiwa nyingi wawekezaji wanaogopa kuanzisha miradi hata walio anzisha wanafunga miladi nakuhamia kwingine ni Aibu Tanzania kutumia Cement kutoka Uganda na Pakistani tena kwa bei chini ya cement ya Tanzania

The higher loan lead to higher Tax, which lead to lower investment, which lead to poor economic growth of the country, Which lead to unemployment.....etc. Finally loan depending country.

Nchi maskini Afrika zinatoza wananchi kodi kubwa kuwaaminisha wazungu kwamba wanaweza kulipa madeni, ila haiwezekani!

Taxes=poor economy= more poverty= more debts= more taxes, and the cycle never ends until we die

@mwigulunchemba1 skiliza hii mheshimiwa Mzee anakupa elimu adhimu, kumbuka vitukuu vyako vitauishi uongozi wako wa leo katika uchumi hapa hapa Tz kwahiyi think about "this time tomorrow ".

Kuna jambo moja halizingatiwi Kwa nchi zetu, kitu kinaitwa Canon of taxation, tax has to adhere to those principal na wananchi kama hamtaelewa Canon of taxation mtapelekeshwa Kwa kuwa na mifumo mibovu ya kodi.

Wanajitoa ufahamu ndio maana wanaongea Kodi Kila kukicha wasahau anguko ni letu sote hadi vitukuu

