Loading video...
Video Failed to Load
Mkutano wa CHADEMA Arusha,.🙌🙌
31,659 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Epamarts1 year ago
Heche anatumia lugha rahisi kuelwlewesha watu. Ila watu kuchukua hatua ndio mzigo

Naughty Boy1 year ago
Kwa idadi hii ya watu kesho hiki chama kinafutwa chaap

Abraham Zahoro1 year ago
Arushaa hatujawahii kuwaa CCM

Dx0071 year ago
Cdm kwisha habari yao kwa idadi ya watu iyo

NO NAME1 year ago
Daaaah wametunyima uwanja aseeee

Mbwaa wa Ileje.1 year ago
Wakiona hiv nzi wa kijan ,roho zinawauama sana

Moescape AI1 year ago
Sign up & create wholesome anime art on Moescape AI now!

kikary point1 year ago
We love you CHADEMA

Man @Phd1 year ago
@JonMrema ukiona picha kama hizi kichwa chako kinavuja maji kama mlevi aliyelala nazo Mzee wangu! Arusha ni Lema na Lema ni Arusha💪💪💪

hamisi kidoleso1 year ago
Naungana na wewe ila kwenye gm hapo umetupiga na kitu kizito

YUSUPH MARCOGAGA1 year ago
CHADEMA ni dude kubwa
Related Videos
0:41
Sensitive content
Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
32,033 views • 2 months ago
