Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Mkutano wa CHADEMA Arusha,.🙌🙌
31,653 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Epamarts1 год назад
Heche anatumia lugha rahisi kuelwlewesha watu. Ila watu kuchukua hatua ndio mzigo

Naughty Boy1 год назад
Kwa idadi hii ya watu kesho hiki chama kinafutwa chaap

Abraham Zahoro1 год назад
Arushaa hatujawahii kuwaa CCM

Dx0071 год назад
Cdm kwisha habari yao kwa idadi ya watu iyo

NO NAME1 год назад
Daaaah wametunyima uwanja aseeee

Mbwaa wa Ileje.1 год назад
Wakiona hiv nzi wa kijan ,roho zinawauama sana

Moescape AI1 год назад
Sign up & create wholesome anime art on Moescape AI now!

kikary point1 год назад
We love you CHADEMA

Man @Phd1 год назад
@JonMrema ukiona picha kama hizi kichwa chako kinavuja maji kama mlevi aliyelala nazo Mzee wangu! Arusha ni Lema na Lema ni Arusha💪💪💪

hamisi kidoleso1 год назад
Naungana na wewe ila kwenye gm hapo umetupiga na kitu kizito

YUSUPH MARCOGAGA1 год назад
CHADEMA ni dude kubwa
Похожие видео
0:41
Sensitive content
Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
32,001 просмотров • 1 месяц назад
