正在加载视频...
视频加载失败
Mkutano wa CHADEMA Arusha,.🙌🙌
31,659 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
11 条评论

Epamarts1 年前
Heche anatumia lugha rahisi kuelwlewesha watu. Ila watu kuchukua hatua ndio mzigo

Naughty Boy1 年前
Kwa idadi hii ya watu kesho hiki chama kinafutwa chaap

Abraham Zahoro1 年前
Arushaa hatujawahii kuwaa CCM

Dx0071 年前
Cdm kwisha habari yao kwa idadi ya watu iyo

NO NAME1 年前
Daaaah wametunyima uwanja aseeee

Mbwaa wa Ileje.1 年前
Wakiona hiv nzi wa kijan ,roho zinawauama sana

Moescape AI1 年前
Sign up & create wholesome anime art on Moescape AI now!

kikary point1 年前
We love you CHADEMA

Man @Phd1 年前
@JonMrema ukiona picha kama hizi kichwa chako kinavuja maji kama mlevi aliyelala nazo Mzee wangu! Arusha ni Lema na Lema ni Arusha💪💪💪

hamisi kidoleso1 年前
Naungana na wewe ila kwenye gm hapo umetupiga na kitu kizito

YUSUPH MARCOGAGA1 年前
CHADEMA ni dude kubwa
相关视频
0:41
Sensitive content
Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
32,033 次观看 • 2 个月前
