Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Mnakumbuka hii?

136,830 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Stev J
Stev J1 год назад

Hili taifa liko busy na mambo ya kawaida kabisa ila mambo ya msingi huwezi kuona wanaandamana kudai huduma bora za kijamii,haki,kupinga rushwa,ajira,n.k .Ila tangaza maandamano ya simba na yanga,au maandamano ya Manara na wake zake.Sijui nani katuroga watz

Фото профиля 公式:ちぃたん☆名古屋
公式:ちぃたん☆名古屋1 год назад

Didn't you see Chiitan's precious bell?

Фото профиля Learner
Learner1 год назад

Sema hao Wazee huwa wanajishulisha sana vitu vya kijing jinga sana. - Vimini - Mabucha ya nguruwe Magomeni - Maandamano NECTA, hawamtaki Ndalichako - Maandamano ya Palestina (ingawa hili ni muhimu, ila sidhani kama huwa linasaidia)

Фото профиля CEO_CRYPTO📈📉
CEO_CRYPTO📈📉1 год назад

Kumbe zamani watu walikuwa wanaandamana tu

Фото профиля madam Naa🥰🌹💞
madam Naa🥰🌹💞1 год назад

Tulikuwa hatujazaliwa kumbe hii ilitokea?

Фото профиля STOKI🦅
STOKI🦅1 год назад

Matokeo yake ?

Фото профиля The Bullet
The Bullet1 год назад

Hawa walikuwaga na agenda yao ya siri ile ya ISIS 😅😅😅 Sema Mchonga nae aliponea chupuchupu matukio ya kupinduliwa.

Фото профиля andile Zuma's
andile Zuma's1 год назад

Vijana wa sasa hivi wamekuwa wa hovyo wanachojua ni kubet na Simba na yanga mambo ya jamii hakuna Tena nchi inauzwa wao wako busy kwachina wa bet 😂😂😂😂

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Mama Yangu ndio alikuwa amezaliwa Huo Mwaka 😂🙆‍♂️ Mzee alikuwa ana Miaka 12

Фото профиля Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe1 год назад

🤣🤣🤣

Фото профиля Redox DR. Kibendera
Redox DR. Kibendera1 год назад

😂😂😂

Похожие видео