Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

136,830 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Stev J's profile picture
Stev J1 year ago

Hili taifa liko busy na mambo ya kawaida kabisa ila mambo ya msingi huwezi kuona wanaandamana kudai huduma bora za kijamii,haki,kupinga rushwa,ajira,n.k .Ila tangaza maandamano ya simba na yanga,au maandamano ya Manara na wake zake.Sijui nani katuroga watz

公式:ちぃたん☆名古屋's profile picture
公式:ちぃたん☆名古屋1 year ago

Didn't you see Chiitan's precious bell?

Learner's profile picture
Learner1 year ago

Sema hao Wazee huwa wanajishulisha sana vitu vya kijing jinga sana. - Vimini - Mabucha ya nguruwe Magomeni - Maandamano NECTA, hawamtaki Ndalichako - Maandamano ya Palestina (ingawa hili ni muhimu, ila sidhani kama huwa linasaidia)

CEO_CRYPTO📈📉's profile picture
CEO_CRYPTO📈📉1 year ago

Kumbe zamani watu walikuwa wanaandamana tu

madam Naa🥰🌹💞's profile picture
madam Naa🥰🌹💞1 year ago

Tulikuwa hatujazaliwa kumbe hii ilitokea?

STOKI🦅's profile picture
STOKI🦅1 year ago

Matokeo yake ?

The Bullet's profile picture
The Bullet1 year ago

Hawa walikuwaga na agenda yao ya siri ile ya ISIS 😅😅😅 Sema Mchonga nae aliponea chupuchupu matukio ya kupinduliwa.

andile Zuma's's profile picture
andile Zuma's1 year ago

Vijana wa sasa hivi wamekuwa wa hovyo wanachojua ni kubet na Simba na yanga mambo ya jamii hakuna Tena nchi inauzwa wao wako busy kwachina wa bet 😂😂😂😂

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏1 year ago

Mama Yangu ndio alikuwa amezaliwa Huo Mwaka 😂🙆‍♂️ Mzee alikuwa ana Miaka 12

Fortunatus Buyobe's profile picture
Fortunatus Buyobe1 year ago

🤣🤣🤣

Redox DR. Kibendera's profile picture
Redox DR. Kibendera1 year ago

😂😂😂

Related Videos