正在加载视频...

视频加载失败

136,830 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

Stev J 的头像
Stev J1 年前

Hili taifa liko busy na mambo ya kawaida kabisa ila mambo ya msingi huwezi kuona wanaandamana kudai huduma bora za kijamii,haki,kupinga rushwa,ajira,n.k .Ila tangaza maandamano ya simba na yanga,au maandamano ya Manara na wake zake.Sijui nani katuroga watz

公式:ちぃたん☆名古屋 的头像
公式:ちぃたん☆名古屋1 年前

Didn't you see Chiitan's precious bell?

Learner 的头像
Learner1 年前

Sema hao Wazee huwa wanajishulisha sana vitu vya kijing jinga sana. - Vimini - Mabucha ya nguruwe Magomeni - Maandamano NECTA, hawamtaki Ndalichako - Maandamano ya Palestina (ingawa hili ni muhimu, ila sidhani kama huwa linasaidia)

CEO_CRYPTO📈📉 的头像
CEO_CRYPTO📈📉1 年前

Kumbe zamani watu walikuwa wanaandamana tu

madam Naa🥰🌹💞 的头像
madam Naa🥰🌹💞1 年前

Tulikuwa hatujazaliwa kumbe hii ilitokea?

STOKI🦅 的头像
STOKI🦅1 年前

Matokeo yake ?

The Bullet 的头像
The Bullet1 年前

Hawa walikuwaga na agenda yao ya siri ile ya ISIS 😅😅😅 Sema Mchonga nae aliponea chupuchupu matukio ya kupinduliwa.

andile Zuma's 的头像
andile Zuma's1 年前

Vijana wa sasa hivi wamekuwa wa hovyo wanachojua ni kubet na Simba na yanga mambo ya jamii hakuna Tena nchi inauzwa wao wako busy kwachina wa bet 😂😂😂😂

Latto 𝕏 的头像
Latto 𝕏1 年前

Mama Yangu ndio alikuwa amezaliwa Huo Mwaka 😂🙆‍♂️ Mzee alikuwa ana Miaka 12

Fortunatus Buyobe 的头像
Fortunatus Buyobe1 年前

🤣🤣🤣

Redox DR. Kibendera 的头像
Redox DR. Kibendera1 年前

😂😂😂

相关视频