Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

"..... Mnaua Kariakoo...Mnaua Kariakoo...."

158,700 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Presenter Noah
Presenter Noahvor 3 Jahren

Sema huyu mwamba ni moja ya watu smart sana nchi hii

Profilbild von Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊vor 3 Jahren

Jamaa ni mtu na nusu

Profilbild von UTOPOLO FC
UTOPOLO FCvor 3 Jahren

@MrMzungu Binafsi jilifungua kiduka cha 800k.nikadaiwa kila mwez 100k.kikafa diku hio hio

Profilbild von Adam Makopa OG
Adam Makopa OGvor 3 Jahren

@chapo255 Staki Dhambi chukua yote

Profilbild von Anderson Lesili Julius
Anderson Lesili Juliusvor 3 Jahren

Bashe hakutakiwa kuwa waziri kwa sababu anakuwa mtendaji kwenye sekta Moja hvo kushauri sekta nyingne n issue, huyu bashe sawa na tundu lissu (sheria) wanafaa sna kwenye kushauri kwa sababu wao n big thinkers, wanajua ku analyse Mambo, wanatunza records, wanasoma sna( kutafiti)

Profilbild von J
Jvor 3 Jahren

Its always @HusseinBashe Much respect... hata kama sina ufahamu sana na hizi mbanga, ila kinachoongelewa kina make sense 1000%. Mola ampe hekima na miaka mingi.

Profilbild von WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSADvor 3 Jahren

Sio kama hawajui Ila ni vile kila mtu anajali tumbo lake🚮

Profilbild von VESOJR
VESOJRvor 3 Jahren

Huyu jamaa sema halipagi tu hashtag za kusifiwa humu ila Ni mtu mmoja smart sana

Profilbild von @mfukunyuzi
@mfukunyuzivor 3 Jahren

Ngoja kwanza, ndugu @HusseinBashe huu msimamo bado bado unao au tuache kwanza hili swali

Profilbild von Sam's.Big.Div
Sam's.Big.Divvor 3 Jahren

Bashe anasifa ya kuwa Waziri wa fedha nasi mwigulu

Ähnliche Videos