Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

70,573 views • 1 year ago •via X (Twitter)

21 Comments

كافر's profile picture
كافر1 year ago

Siyo vyema kununua gari ya diesel engine halafu unaitumia kwa route za mjini. Injini ya diesel haijatengenezwa kwa safari fupi. Watu wanafwata mkumbo bila kuangalia matumizi yao yakoje.

Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒's profile picture
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒1 year ago

Ununuzi wa mkumbo unatuponza sana watanzania.

mr i's profile picture
mr i1 year ago

Kwa swala hili nadhani KUWA na engine ndogo ya diesel sio shida coz hata vespa Kuna baadhi kafunga diesel na ni single piston. Sema hizi CX-5 ni modern cars, huwa zinakua na sensor za kutosha. Ikitokea hujapata fundi anaeelewa maswala ya automation ndio haita Waka kabisa.

zoomIn's profile picture
zoomIn1 year ago

Hizi gari nyingi ni diesel, na ninavyojua mimi na kwa uzoefu wangu, diesel haitaki town trip, huwezi washa gari ya diesel ukatembelea km 3 ukaizima, baada ya lisaa ukaiwasha tena na kuondoka muda huo huo, watu wananunua vitu ambavyo hawana matumizi navyo

Mulastar's profile picture
Mulastar1 year ago

Shida sio gari shida ni wamiliki na mafundi wanafunga spea ambazo sio za mazda alafu safari fupi pia zina athiri mfumo wa dfp cha mwisho Mazda haikuwa designed kwaajil ya frika na mazingira yenye joto

alonso boy's profile picture
alonso boy1 year ago

Ukweli ni kwamba hatuna mafundi wa magari wengi ni madalali kama mwijaku 🤣🤣🤣🤣

Kiongozi🇹🇿's profile picture
Kiongozi🇹🇿1 year ago

Huyu fundi ni specialist wa Mazda CX5 ndio maana unaziona ni nyingi hapo Gereji kwake. Mbona ukienda Gereji nyingine hakuna mazda nyingi kama hapo? Ukienda kwa specialist wa Benz au Volkswagen utazikuta nyingi kuliko toyota au Nissan.

Free 5 Odds Daily's profile picture
Free 5 Odds Daily1 year ago

Sababu ni 2 1: Mazda CX5 inataka itumie High Quality Fuel tuu, nafaikiri mnafahamu mafuta ya bongo. 2: Mazda CX5 zina Turbo, Gari ya Turbo inahitaji masafa, inahitaji engine ifunguke ili turbo ifanye kazi, sasa ww kama unaitumia mjini Unatembea na rev 2000 jiandae kuacha garage.

Kihange~The Everlasting's profile picture
Kihange~The Everlasting1 year ago

Dualis liked your post

kibasajr's profile picture
kibasajr1 year ago

Kwasababu ni rebult car yaan wamefix fix gar used

richard Mwaiseje's profile picture
richard Mwaiseje1 year ago

Ni sawa na dualis tu

Richard Marwa's profile picture
Richard Marwa1 year ago

Kwa jinsi ninavyojua Mimi injini za diesel zikiwa ndogo yaani cc3000 kuja chini huwa complicated sana ni aina chache sana za diesel engine ndogo zimetoboa sasa unaenda kufunga engine ya cc 2000 matokeo yake ndiyo haya sasa na Bado zitaendelea kufa sana

dmkodabest's profile picture
dmkodabest1 year ago

Hayo magari sio mabovu shida ni mafundi wanaoyajulia bongo ni wachache

LORD DENNING JR.'s profile picture
LORD DENNING JR.1 year ago

@grok The video above shows several Mazda CX‑5s in a garage, and their owners are constantly lamenting engine problems. Could you please share your insightful thoughts on this issue?

Abby de' levante🔨's profile picture
Abby de' levante🔨1 year ago

Kwahiyo wasifanye service

Volenti Non Fit's profile picture
Volenti Non Fit1 year ago

Acha kufananisha Dualis na gari za msimu. Dualis ni gari ya petrol na haina kipengele Cha msingi zingatia services

KIBOSILE's profile picture
KIBOSILE1 year ago

Tatizo sio gari wala engine kuwa ndogo tatizo ni mafundi wanatak kutengeneza kama wanatengeneza toyota wakubali mazd hawaijui sio kusingizia gari

Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)'s profile picture
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)1 year ago

"SkyActiv Technology"

ELIAH KING's profile picture
ELIAH KING1 year ago

Walifauli kwenye consumption ya mafuta, Wakafeli kwenye engine....nilimhoji mtaalamu wa garage akasema zote ni zinakufa engine

Kalogota's profile picture
Kalogota1 year ago

BORA TUTEMBEE KWA MIGUU TU😤

HASHEEM SWAI's profile picture
HASHEEM SWAI1 year ago

Staili hii kuna kuibianan spea hapo

Related Videos