Loading video...
Video Failed to Load
Mrithi wa Nissan Dualis🙄
70,573 views • 1 year ago •via X (Twitter)
21 Comments

Siyo vyema kununua gari ya diesel engine halafu unaitumia kwa route za mjini. Injini ya diesel haijatengenezwa kwa safari fupi. Watu wanafwata mkumbo bila kuangalia matumizi yao yakoje.

Ununuzi wa mkumbo unatuponza sana watanzania.

Kwa swala hili nadhani KUWA na engine ndogo ya diesel sio shida coz hata vespa Kuna baadhi kafunga diesel na ni single piston. Sema hizi CX-5 ni modern cars, huwa zinakua na sensor za kutosha. Ikitokea hujapata fundi anaeelewa maswala ya automation ndio haita Waka kabisa.

Hizi gari nyingi ni diesel, na ninavyojua mimi na kwa uzoefu wangu, diesel haitaki town trip, huwezi washa gari ya diesel ukatembelea km 3 ukaizima, baada ya lisaa ukaiwasha tena na kuondoka muda huo huo, watu wananunua vitu ambavyo hawana matumizi navyo

Shida sio gari shida ni wamiliki na mafundi wanafunga spea ambazo sio za mazda alafu safari fupi pia zina athiri mfumo wa dfp cha mwisho Mazda haikuwa designed kwaajil ya frika na mazingira yenye joto

Ukweli ni kwamba hatuna mafundi wa magari wengi ni madalali kama mwijaku 🤣🤣🤣🤣

Huyu fundi ni specialist wa Mazda CX5 ndio maana unaziona ni nyingi hapo Gereji kwake. Mbona ukienda Gereji nyingine hakuna mazda nyingi kama hapo? Ukienda kwa specialist wa Benz au Volkswagen utazikuta nyingi kuliko toyota au Nissan.

Sababu ni 2 1: Mazda CX5 inataka itumie High Quality Fuel tuu, nafaikiri mnafahamu mafuta ya bongo. 2: Mazda CX5 zina Turbo, Gari ya Turbo inahitaji masafa, inahitaji engine ifunguke ili turbo ifanye kazi, sasa ww kama unaitumia mjini Unatembea na rev 2000 jiandae kuacha garage.

Dualis liked your post

Kwasababu ni rebult car yaan wamefix fix gar used

Ni sawa na dualis tu

Kwa jinsi ninavyojua Mimi injini za diesel zikiwa ndogo yaani cc3000 kuja chini huwa complicated sana ni aina chache sana za diesel engine ndogo zimetoboa sasa unaenda kufunga engine ya cc 2000 matokeo yake ndiyo haya sasa na Bado zitaendelea kufa sana

Hayo magari sio mabovu shida ni mafundi wanaoyajulia bongo ni wachache

@grok The video above shows several Mazda CX‑5s in a garage, and their owners are constantly lamenting engine problems. Could you please share your insightful thoughts on this issue?

Kwahiyo wasifanye service

Acha kufananisha Dualis na gari za msimu. Dualis ni gari ya petrol na haina kipengele Cha msingi zingatia services

Tatizo sio gari wala engine kuwa ndogo tatizo ni mafundi wanatak kutengeneza kama wanatengeneza toyota wakubali mazd hawaijui sio kusingizia gari

"SkyActiv Technology"

Walifauli kwenye consumption ya mafuta, Wakafeli kwenye engine....nilimhoji mtaalamu wa garage akasema zote ni zinakufa engine

BORA TUTEMBEE KWA MIGUU TU😤

Staili hii kuna kuibianan spea hapo
