Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

70,594 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

21 Kommentare

Profilbild von كافر
كافرvor 1 Jahr

Siyo vyema kununua gari ya diesel engine halafu unaitumia kwa route za mjini. Injini ya diesel haijatengenezwa kwa safari fupi. Watu wanafwata mkumbo bila kuangalia matumizi yao yakoje.

Profilbild von Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒vor 1 Jahr

Ununuzi wa mkumbo unatuponza sana watanzania.

Profilbild von mr i
mr ivor 1 Jahr

Kwa swala hili nadhani KUWA na engine ndogo ya diesel sio shida coz hata vespa Kuna baadhi kafunga diesel na ni single piston. Sema hizi CX-5 ni modern cars, huwa zinakua na sensor za kutosha. Ikitokea hujapata fundi anaeelewa maswala ya automation ndio haita Waka kabisa.

Profilbild von zoomIn
zoomInvor 1 Jahr

Hizi gari nyingi ni diesel, na ninavyojua mimi na kwa uzoefu wangu, diesel haitaki town trip, huwezi washa gari ya diesel ukatembelea km 3 ukaizima, baada ya lisaa ukaiwasha tena na kuondoka muda huo huo, watu wananunua vitu ambavyo hawana matumizi navyo

Profilbild von Mulastar
Mulastarvor 1 Jahr

Shida sio gari shida ni wamiliki na mafundi wanafunga spea ambazo sio za mazda alafu safari fupi pia zina athiri mfumo wa dfp cha mwisho Mazda haikuwa designed kwaajil ya frika na mazingira yenye joto

Profilbild von alonso boy
alonso boyvor 1 Jahr

Ukweli ni kwamba hatuna mafundi wa magari wengi ni madalali kama mwijaku 🤣🤣🤣🤣

Profilbild von Kiongozi🇹🇿
Kiongozi🇹🇿vor 1 Jahr

Huyu fundi ni specialist wa Mazda CX5 ndio maana unaziona ni nyingi hapo Gereji kwake. Mbona ukienda Gereji nyingine hakuna mazda nyingi kama hapo? Ukienda kwa specialist wa Benz au Volkswagen utazikuta nyingi kuliko toyota au Nissan.

Profilbild von Free 5 Odds Daily
Free 5 Odds Dailyvor 1 Jahr

Sababu ni 2 1: Mazda CX5 inataka itumie High Quality Fuel tuu, nafaikiri mnafahamu mafuta ya bongo. 2: Mazda CX5 zina Turbo, Gari ya Turbo inahitaji masafa, inahitaji engine ifunguke ili turbo ifanye kazi, sasa ww kama unaitumia mjini Unatembea na rev 2000 jiandae kuacha garage.

Profilbild von Kihange~The Everlasting
Kihange~The Everlastingvor 1 Jahr

Dualis liked your post

Profilbild von kibasajr
kibasajrvor 1 Jahr

Kwasababu ni rebult car yaan wamefix fix gar used

Profilbild von richard Mwaiseje
richard Mwaisejevor 1 Jahr

Ni sawa na dualis tu

Profilbild von Richard Marwa
Richard Marwavor 1 Jahr

Kwa jinsi ninavyojua Mimi injini za diesel zikiwa ndogo yaani cc3000 kuja chini huwa complicated sana ni aina chache sana za diesel engine ndogo zimetoboa sasa unaenda kufunga engine ya cc 2000 matokeo yake ndiyo haya sasa na Bado zitaendelea kufa sana

Profilbild von dmkodabest
dmkodabestvor 1 Jahr

Hayo magari sio mabovu shida ni mafundi wanaoyajulia bongo ni wachache

Profilbild von LORD DENNING JR.
LORD DENNING JR.vor 1 Jahr

@grok The video above shows several Mazda CX‑5s in a garage, and their owners are constantly lamenting engine problems. Could you please share your insightful thoughts on this issue?

Profilbild von Abby de' levante🔨
Abby de' levante🔨vor 1 Jahr

Kwahiyo wasifanye service

Profilbild von Volenti Non Fit
Volenti Non Fitvor 1 Jahr

Acha kufananisha Dualis na gari za msimu. Dualis ni gari ya petrol na haina kipengele Cha msingi zingatia services

Profilbild von KIBOSILE
KIBOSILEvor 1 Jahr

Tatizo sio gari wala engine kuwa ndogo tatizo ni mafundi wanatak kutengeneza kama wanatengeneza toyota wakubali mazd hawaijui sio kusingizia gari

Profilbild von Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)vor 1 Jahr

"SkyActiv Technology"

Profilbild von ELIAH KING
ELIAH KINGvor 1 Jahr

Walifauli kwenye consumption ya mafuta, Wakafeli kwenye engine....nilimhoji mtaalamu wa garage akasema zote ni zinakufa engine

Profilbild von Kalogota
Kalogotavor 1 Jahr

BORA TUTEMBEE KWA MIGUU TU😤

Profilbild von HASHEEM SWAI
HASHEEM SWAIvor 1 Jahr

Staili hii kuna kuibianan spea hapo

Ähnliche Videos