Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Msikilizeni kijana mwenzetu👇
91,427 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Nimeacha kuskiliza alipo sema thelathini hii hapa, huyu mtoto msenge sana. 😂😂😂

these vocals are unreal

Unasikia bwana mdogo usifikirie hao watu wazima wanao hustle hivyo labda walizembea Ku fight life no,kwenye maiaha kuna mambo mengi sana hujayajua bado ukikua utakuja niambia....Dunia ilivyo....!Haitabiriki....! Usim underrate mtu yyte yule in life ....!

Huyu kweli bado Mtoto yaani yy anaona Miaka 30 GAME OVER wakati hiyo Miaka 30 ata GAME kuanza BADO.

Kalipo sema 30yrs ndio umesha lost nikaacha kusikiliza nimeona haka katoto kasenge Mimi niko 40+ sielewi chochote 😂🚮

Dogo huyu hajitahidi sana otherwise Akue ayaone

Kuna ma bro huwa na clique nao wamepata maisha in their 40s,cha msingi ni kujipanga kabla ya kua na familia au kipindi ambacho amna anae kutegemea.

Kwamba 30 35 kama hujajipata unakuja ushapotea😀😀

Apo alipo huenda miaka minne mbele akawa hana kila kitu akawa sawa na mzee wa Bunju ndani ya miaka 36 tu. Hujiuliz kuna vijana wangapi wako mtaan saiv na wanaitafuta hio 350 ya mzee wangne wanaanguzkia uteja kwa msongo wa mawazo kinchotakiwa ni kumshukur kwa nafasi uliyopo.

Life began at forte.

Sura nzuri atajuwaje hustle huyo
Похожие видео
Sensitive content
Kijana ha Waititu
Boniface
137,070 просмотров • 1 год назад
