Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Mungu atusaidie.
63,995 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

First born mungu akufanyie wepesi

Mwal. Christopher Mwakasege ana full series ya somo la Mzaliwa wa kwanza. Nilijufunza series hii miaka ya 2008

Amesema kweli. But amesahau kitu kimoja. Kama mzazi mzaliwa wako wa kwanza ni wa kiume. Basi mtoe / mtengee Bwana. Mwambie huyo ni wa kwako. Na muelekeze mtoto nyumban kwako ni kwa baba yajo ambaye ni Mungu. Akijibidiisha katika kutunza nyumba ya Baba yake. Hawez kuwa failure.

Nipo hapa kusema hii ni Uongo na tusijichimbie hapo tukaishi hapo. Uzaliwa wa kwanza ni majukumu, yabebe, period!

Nafikir hii ni nadharia tu, zipo familia first born wamefanikiwa wanaofuata hawajafanikiwa and vice versa is true. Na tukizungumza Kikristo; Yesu alishamaliza kaz ya ukombozi msalabani, hakuna ukomboz mtu ataufanya kwa ajili ya mtu mwingine.

excuses km excuse zingine! Matajiri wa dunia asilimia 80 ni generation ya kwanza from poor families ! Mfano baadhi ni Oprah Winfrey, Howard Shultz, Ralph Lauren, Larry Elison, Kenneth Langone, David Murdock, Alan Gerry, John Paul DeJoria, Harald Hamm

Mungu atusaidie kwakweli.

Hapana kwakweli hii mindset tuikatae na ni uongo ! Yes anakuwa na majukumu makubwa ila ni yeye mwenyewe kuamua kuyafanya au lah. You can’t always baby people. Pia wapo first borns waliofanikiwa sana coz parents wali invest kwao in terms of education, mali etc

Baba yangu ni mtoto wa 7 kwao ila ni kama wa kwanz tu maan yeye ndo kidgo kafanikiwa alooh majukumu aliyonayooo😂😂😂🙌 ndo maan anaongeaga peke yake yule mzee…! Alinambia omba mungu kwenye familia mfanikiwe wote sio utoke peke yako n mbaya sanaa😭

Not necessarily working like that
