Loading video...
Video Failed to Load
Yani Mungu....
11,480 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
11 Comments

Mzee ahoji maana ya Mungu kwa wakristo. Sikiliza anachokisema... Video kwa Comments ๐

Ikumbukwe wazi kwamba. Sisi Wakristo Tunaamini Katika UTATU MTAKATIFU. IKIWA MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO MTAKATIFU. ikumbukwe pia KATIKA KITABU cha Uumbaji.. MUNGU alisema na tumfanye mtu kwa mfano wetu sisi. Ikiwa Inamaana MUNGU HAKUWA PEKE YAKE๐ค

Asicho jua ni kwamba Kipindi cha Musa Mungu ajifunua kama Moto akazungumuza na Musa Mungu alijifunua kama Radi inamaana Mungu hawezi kujifunua kama binadamu? YESU alizaliwa kwa Neno na kwa Roho Wengine tumezaliwa kwa Mbegu ya mwanadamu Hatuja wai kufa na kufufuka

does this represent Miami?

Mbona anajiuniza kutafuta filosofia kubwa sana,๐คฃ๐คฃ kwani kati ya YAI na kuku kilianza nini?

Hamna akili wewe na huyo mzee

Shida ni kwamba hata hii picha siyo ya yesu wala mungu, ni ya jamaa mmoja mmalekani anaitwa BRIAN NICODEMA ila waafrica wanajua huyu ndo yesu

Alafu mungu akasema mungu wangu wasamehe hawajui walitendalo๐

Fumbo la Imani

uyu anashida ya akili kiufup nikumwacha aendelee na maisha yake

Hana akili huyu jamaa, ๐ Anarukia mambo asiyoyajua. Aende akasome Mpango wa ukombozi, Eti anachoka akili utafikili Hata akili anazo ktk maarifa ya kumjua Mungu. Soma upate maarufa๐
