Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Mungu huyu.🙌🏿❤️
149,881 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
9 Yorum

Kwamba ndo kilichomponza? Kwamba somo la kujifunza ni UKIZIDISHIWA CHENJI USIRUDISHE UTAUPONZA tuseme amevurugika akili akitulia atajua alichokifanya hakikumponza na huenda wema wake ndio umefanya amepona na kutoka Si kwamba waliokwama sio wema bali Mungu pia ana makusudi yake

...wema wake ndio uliomuokoa, ili apate kusimulia matendo ya MUNGU aliyomtendea. Kijana ni MTU mwema sana.

Huyo anamwambia wema umemponza lakini mimi namwambia wema wake umemuokoa. Kama asingerudi huenda lingemwangukia akiwa nje na ingekuwa mbaya zaidi maana huenda angepigwa tofali la kichwa na kupoteza maisha. Mungu alimrudisha kwa makusudi yake amshukuru sana Mungu.

Mungu aliliona jema hili amekuongezea miaka

Mwamba angekufa kwa huo wema wake angeenda direct peponi.

Huyu ni mtuu, wema haujamponza umemuokoa, and anyway hata ingekua tofauti yy tayri peponi mazimaaaaa

huo wema ndo umekunusuru mbwa wewe lingeshuka ukiwa nje kipande cha tofari kikakupuga wangekuwa wanazika ndugu zako leo

Wema ni akina,ukitenda wema utapata mema!Ahidimiwe Mungu muumba wa vyote matendo yake ni makuu tumeshuhudia ukuu wake!Ahimidiwe siku zote.

Ngazi ya kwanza tu akaumia
Benzer Videolar
Sensitive content
Mpaka mwenye sherehe anashangaa🥴 Kuitetea hii jinsia kazi sana,huyu baadae atataka nae apate mume mcha Mungu😷
PASTA JOSHUA
371,333 görüntüleme • 1 yıl önce
