Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mungu huyu.๐Ÿ™Œ๐Ÿฟโค๏ธ

149,900 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

9 Comments

MASTER PIZO's profile picture
MASTER PIZO1 year ago

Kwamba ndo kilichomponza? Kwamba somo la kujifunza ni UKIZIDISHIWA CHENJI USIRUDISHE UTAUPONZA tuseme amevurugika akili akitulia atajua alichokifanya hakikumponza na huenda wema wake ndio umefanya amepona na kutoka Si kwamba waliokwama sio wema bali Mungu pia ana makusudi yake

katekista's profile picture
katekista1 year ago

...wema wake ndio uliomuokoa, ili apate kusimulia matendo ya MUNGU aliyomtendea. Kijana ni MTU mwema sana.

Milestone~Otana๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
Milestone~Otana๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 year ago

Huyo anamwambia wema umemponza lakini mimi namwambia wema wake umemuokoa. Kama asingerudi huenda lingemwangukia akiwa nje na ingekuwa mbaya zaidi maana huenda angepigwa tofali la kichwa na kupoteza maisha. Mungu alimrudisha kwa makusudi yake amshukuru sana Mungu.

Askari KanzuJr's profile picture
Askari KanzuJr1 year ago

Mungu aliliona jema hili amekuongezea miaka

๐”Žjj's profile picture
๐”Žjj1 year ago

Mwamba angekufa kwa huo wema wake angeenda direct peponi.

Typhoon_01's profile picture
Typhoon_011 year ago

Huyu ni mtuu, wema haujamponza umemuokoa, and anyway hata ingekua tofauti yy tayri peponi mazimaaaaa

tiba asili's profile picture
tiba asili1 year ago

huo wema ndo umekunusuru mbwa wewe lingeshuka ukiwa nje kipande cha tofari kikakupuga wangekuwa wanazika ndugu zako leo

Ng'wizokolo's profile picture
Ng'wizokolo1 year ago

Wema ni akina,ukitenda wema utapata mema!Ahidimiwe Mungu muumba wa vyote matendo yake ni makuu tumeshuhudia ukuu wake!Ahimidiwe siku zote.

ISLAW YASIN's profile picture
ISLAW YASIN1 year ago

Ngazi ya kwanza tu akaumia

Related Videos