Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Mungu huyu.🙌🏿❤️

149,900 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля MASTER PIZO
MASTER PIZO1 год назад

Kwamba ndo kilichomponza? Kwamba somo la kujifunza ni UKIZIDISHIWA CHENJI USIRUDISHE UTAUPONZA tuseme amevurugika akili akitulia atajua alichokifanya hakikumponza na huenda wema wake ndio umefanya amepona na kutoka Si kwamba waliokwama sio wema bali Mungu pia ana makusudi yake

Фото профиля katekista
katekista1 год назад

...wema wake ndio uliomuokoa, ili apate kusimulia matendo ya MUNGU aliyomtendea. Kijana ni MTU mwema sana.

Фото профиля Milestone~Otana🇹🇿
Milestone~Otana🇹🇿1 год назад

Huyo anamwambia wema umemponza lakini mimi namwambia wema wake umemuokoa. Kama asingerudi huenda lingemwangukia akiwa nje na ingekuwa mbaya zaidi maana huenda angepigwa tofali la kichwa na kupoteza maisha. Mungu alimrudisha kwa makusudi yake amshukuru sana Mungu.

Фото профиля Askari KanzuJr
Askari KanzuJr1 год назад

Mungu aliliona jema hili amekuongezea miaka

Фото профиля 𝔎jj
𝔎jj1 год назад

Mwamba angekufa kwa huo wema wake angeenda direct peponi.

Фото профиля Typhoon_01
Typhoon_011 год назад

Huyu ni mtuu, wema haujamponza umemuokoa, and anyway hata ingekua tofauti yy tayri peponi mazimaaaaa

Фото профиля tiba asili
tiba asili1 год назад

huo wema ndo umekunusuru mbwa wewe lingeshuka ukiwa nje kipande cha tofari kikakupuga wangekuwa wanazika ndugu zako leo

Фото профиля Ng'wizokolo
Ng'wizokolo1 год назад

Wema ni akina,ukitenda wema utapata mema!Ahidimiwe Mungu muumba wa vyote matendo yake ni makuu tumeshuhudia ukuu wake!Ahimidiwe siku zote.

Фото профиля ISLAW YASIN
ISLAW YASIN1 год назад

Ngazi ya kwanza tu akaumia

Похожие видео