Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Mwacheni huru Abdul Nondo 🇹🇿
26,117 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

@abdulnondo2 Mrudisheni Abdul…

@abdulnondo2 Mheshimiwa kwa haya hamwoni haja ya kuitana kama vyama upinzani kwa dharura kujadili ?

@abdulnondo2 tatizo kiongozi unajikomba sana kwa CCM ifike mda mtetee wananchi muache kutufanya watoto wadogo, kwa tukio hili labda utajifunza kuwa ccm sio nduguyo

@abdulnondo2 Wana mamlaka ya kuishi ktk dunia hii na hawata kufa kamwe. Wameingia makubaliano na mungu ndio maana wanahisi wamepewa mamlaka zote chini ya jua. Hawaogopi damu,hawana huruma na wala hawana wazazi wao huko vijijini kwao

@abdulnondo2 BRING BACK NONDO,,,,,,

@abdulnondo2 Ukisikia chuma kimepata mfupa ndo hii sasa! Kuna kosa la kiufundi limetokea hapa, Jamaa waligundua, atarejeshwa haraka sana, vinginevyo, hili litachochea kupatikana kwa haki ya haraka!

@abdulnondo2 Mwenye account ya Linkedin njoo inbox tuongee

@abdulnondo2 #Freenondo

@abdulnondo2 Pole sana Bwana Dalali, Mpigie Mama Simu.

@abdulnondo2 #FreeDeusdedithSoka #FreeJacobMlay #FreeFrankMbise #FreeDionizKipanya #FreeChaula #FreeMdude #FreeNondo
